Recent content by colg

  1. C

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Usiku najiunga na vifurushi hakifanikiwi kwa nini Ni week sasa. Nipo kahama bulungwa.
  2. C

    Watanzania, Wakenya, Waganda tuna maumbile ya kiume madogo

    Nimewahi kuwa na mkenya kibamia hicho hatari kama kidole cha mguuni. Sikurudi tena.
  3. C

    Mwenye kuelewa mshahara wa customer care Vodacom na Airtel

    Hakuna qualification zozote coz hata darasa la saba wapo wanapiga mzigo wanachoconsider ujue kiingereza na computer
  4. C

    Naombeni ushauri ndugu zangu

    Hayatuhusu
  5. C

    Mchumba wangu amepeleka ATM card yangu kwa mganga...

    Usigeneralize hapa mwongelee mpenz wako au omba ushauri ufanyeje sio kusema nyinyi wanawake mpoje
  6. C

    Msaada: Intern ya udaktari

    Wiki mbili ni chache sana ndugu kuwa na moyo wa uvumilivu unampomsaidia ndugu yako inavyoonekana ni ndugu yako wa karibu sana. Sisi wengine timesomeshwa na ndugu tu kutoka A level hadi degree wewe ungeweza . Ungefikiria hiyo internship akiwa anakaribia kutoka chuo aanze kuapply for internship...
  7. C

    Kaniambia ana HIV

    Sioni kitu kilichokuchanganya hapo. Je angekuambukiza ungefanyeje si ungekuwa chizi. Mambo mengine ni kumshukuru Mungu na sio kuchanganyikiwa.
  8. C

    Amekasirika mume wake anataka kuoa mke mwingine

    Atakuwa msukuma huyo maana ndio zao.
  9. C

    Lembeli: Muhongo anaiangamiza CCM

    Huyo lembeli hajafanya lolote kahama.
  10. C

    Ni hatari! Vijana wengi hawatumii kinga

    Me napenda tutumie condom coz game linachukua mda mrefu hence naridhika sana.
  11. C

    Mkopo wa fedha

    Hii topic yako ni ya mwaka gani au mimi tu ndio sijaelewa.
  12. C

    Simuelewi hapokei simu yangu, akijibu message basi ni kwa kifupi

    Umeona utakuwa unamatatizo haya mawili huna hela, pia ni timu vibamia. Maana ukiwa na tatizo moja kati ya hayo mawili mengine yanavumilika.
  13. C

    HIV test

    Pia kama walipooana hawakupima hiv ndio hvo yawezekana walioana wakati tayari mme anao au kaupata wakiwa kwenye ndoa ila mke wake atakuwa hana receptor za hiv. Me sio doctor au nurse so huo ndio uelewa wangu.
  14. C

    HIV test

    Ukimwi hauambukizwi kwa sex tu kuna njia nyingi know that.
  15. C

    Nikipumua naumia

    Jaribu kupima vidonda vya tumbo na mimi nilikuwa najisikia hivyo kupima ni deudonal ulcers
Back
Top Bottom