Wana JF Natumai mko shwari, ni ivi jaman! Kuna dada hapa anahitaj msaada wa mawazo, ni ivi:- huyu mdada ameolewa 2yrs ago, toka aolewe wazaz wa mume wakawa wakiulizia mbona hapat mimba? yan wakawa wanawapa presha sana wana ndoa hawa, Mungu si coletha mdada akapata mimba na kujifungua this...