Wana JF Natumai mko shwari, ni ivi jaman! Kuna dada hapa anahitaj msaada wa mawazo, ni ivi:- huyu mdada ameolewa 2yrs ago, toka aolewe wazaz wa mume wakawa wakiulizia mbona hapat mimba? yan wakawa wanawapa presha sana wana ndoa hawa, Mungu si coletha mdada akapata mimba na kujifungua this february, Tatizo linakuja jamaa amekuwa mnyanyasaji tena wa wazi wazi mpaka japo haihusu inauma sana. Imagine wakipishana kidogo kama kawaida ya ndoa zingine jamaa anapaza saut na kumpaka mkewe vibaya, yan anafkia mpaka kutaja cost za hospt alikompeleka kujifungua . Sasa dada wa watu ameish kwa gubu mpaka sasa amezalisha high blood pressure mana amekuja gundua jamaa ana 2kids kila mmoja na mama yake na jamaa kawatelekeza ndo akavutwa yeye kwa ndoa ya serikalin, natoka ofsin hapa nakuta ametolewa hspt kisa pressure. Anataman kurud kwao akalee mwanae mana ni house wife ,mnamshaurije dada yetu huyu? Nawasilisha