binti ashura
Senior Member
- Jan 14, 2011
- 118
- 19
Ndugu zangu katika jf mimi ninapenda kuwajurisha ya kwamba hizi ni nyakati za mwisho, tumezoea kusikia kuwa hizi ni nyakati za mwisho lakini hazikulinganishwa na hizi za sasa. mimi napenda kuwajurisha kuwa kuna njia moja tu ya kujihakikishia usalama wa hatima ya maisha yetu na usalama wetuni kujikabidhi kwa bwana yesu. tujisalimishe kwa yesu huko ndiko tutakapokuwa salama! vinginevyo ibirisi atayafanya maisha yetu kama viumbe wa kuchezea kama panya wa majaribio ya kisayansi. kwa wale wavuvi wanajua namna ya kuvua samaki kwa kutumia ndoana, hivyo ndivyo shetani avuavyo watu. anaweka chambo kidogo unaona kama unafaidi lakinindiyo unakamatwa mpaka mwisho hivyo.
yesu ni njia ya kwendea mbinguni ukimwamini ujue umechagua fungu lililojema!. wapendwa nawatakia kila kheri kwa mwenyezi Mungu.
yesu ni njia ya kwendea mbinguni ukimwamini ujue umechagua fungu lililojema!. wapendwa nawatakia kila kheri kwa mwenyezi Mungu.