Recent content by Cold Free

  1. Cold Free

    JamiiForums Tanzania Car4Sale BMW X5 namba “E” iko sokoni kwa bei sawa na bure

    Wadau naomba kujua inawezekanaje gari ina miaka 18 duniani halafu mileage iwe 93K? Sawa na wastani wa kutembea Km 5,000 kwa mwaka?
  2. Cold Free

    JamiiForums Tanzania Hii ni kiboko ya wadudu wote wasumbufu sumbufu

    Ile mijusi ya ndani inaua?
  3. Cold Free

    JamiiForums Tanzania Usafirishaji hatari wa Tv kuanzia Inch 60

    Yani mteja amenunua bidhaa kwako yenye thamani zaidi ya 1M+ unashidnwa kumsafirishia kwenye usafiri salama na wenye hadhi sawa na mali alionunua? Hivi customer care Tz bado tatizo sana! Wew mwambie bei ya Tv mfano ni Tsh 1,560,000 ukijua hiyo elfu 60 ni for delivery pakia kwenye IST mfikishie...
  4. Cold Free

    JamiiForums Tanzania Ununuzi wa viwanja kutumia mfumo wa Tausi

    Tusubiri wajuzi
  5. Cold Free

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakulungwa hii inaitwaje Kiufundi?

    Hizo chaja ni mbegu za wanaume tofauti tofauti! Zipo nyingi zimeingia kwa hiyo hajui ni mimba na nani
  6. Cold Free

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naishi na binti ambaye kwao hawajawahi kuniona ila wananisikia tu kupitia binti yao

    Siku aje akate moto hapo ndani ndio utaona umuhimu wa kwenda kwao.
  7. Cold Free

    JamiiForums Tanzania Ukipoteza Meno huna Ulazima wa Kubaki na Mapengo Kuna Suluhisho la Kudumu

    Dalili ya ukanjanja ndio hii! Taasisi ambayo makini huweka taarifa zake wazi kila mtu ajue ili kupunguza maswali na kufuatana pasina sababu.
  8. Cold Free

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kaunti ya Nairobi yafungia kanisa la freemason kwa kutoka na deni la mamilioni ya pesa

    Kwa maana hiyo kusanyiko la waislam wakiswali nalo ni kanisa?
  9. Cold Free

    JamiiForums Tanzania JamiiForums wabadilisha jina, Sasa kuitwa JamiiAfrica

    Kwanini mchanganye jina kwa lugha mbili? Basi mtumie JamiiAfrika sio JamiiAfrica
  10. Cold Free

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa kwanini majirani wanapenda kugonga / kubisha hodi mlango wa nyuma

    Sasa unakuta unagonga mlango wa mbele weee hamna response mtu kimya! Inabidi ukagonge na mlango wa nyuma labda utapata mwitikio. Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
  11. Cold Free

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

    Kwake hupajui? Kwa hatua hiyo ya mahusiano utakuwa unapajua kwake!! Ushajaribu kumfata kujua anashida gani? Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
  12. Cold Free

    JamiiForums Tanzania Msaada: Sifa gani zinahitajika kwa mwenye Degree ya Ualimu wa Math & Physics kuomba ajira serikalini?

    Pass tu inatosha jisajili Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
  13. Cold Free

    JamiiForums Tanzania Msaada: Sifa gani zinahitajika kwa mwenye Degree ya Ualimu wa Math & Physics kuomba ajira serikalini?

    Umehitimu mwaka huu kijana? Ukiingia kitaani Achana na mambo ya GPA. Nenda ajira portal jisajili anza kufanya applications. Kila la Heri Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
  14. Cold Free

    JamiiForums Tanzania Kisheria hakuna mchezaji duniani anayeitwa Pacome wala klabu ya mpira wa miguu inayoitwa Yanga, msiingie taharuki mashabiki wa Simba

    Vipi kuhusu Sanda Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom