Acha kujidanganya Mjomba hakuna njia zisizo halali zilizo fungwa Bali sasa hivi TRA wanafanya kazi kwa kukomoa wafanya biashara na wanachofanya ni kuja na Bei elekezi ambazo hazina uhalisia. Hapa swali la kujiuliza ni kuwa Je wanamkomoa nani ?? Na wanafanya hivyo kwa maagizo ya nani ??
Kwani uliolewa kuja kuosha vyombo, kufua au kupika ??? Fanya kazi yako vizuri na achana na kazi za Mdada wa kazi uone kama huyo mumeo atakuwa na mchepuko.
Naona wazungu Marubani walioleta hii ndege Lazima wamerudi kwao na hadithi ya kuhadithia jinsi "Nyani" wa Afrika walivyo shaanga Ndege karne hii. Aibu tupu jamani .....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.