Mie nipo wilaya ya Newala huku umeme unaweza kukaa siku hadi tatu hujauona na hakuna taarifa yeyote. Maji hakuna wanategemea maji ya mvua kwenye visima kwakweli huu mkoa kama sio Tanzania kama huamini tembelea siku moja ujionee. Mkoa huu kuishi ni kazi sana serikali imeususa na hakuna wa kuitetea
Umeme ni kero kubwa sana wilaya ya Newala kukaa siku mbili, tatu hata wiki ni kitu cha kawaida bila taarifa yeyote.
Tanesco tunaomba sana mliangalie Hili watu wanaumia, biashara hazifanyiki na mbaya zaidi ni tatizo la kudumu
Rafiki yangu leo kanionesha sms kutoka kwa mke wa jirani yetu anamwambia mume wangu analazimisha tusex ila mimi sitaki nataka kuonana na kusex na wewe kwa jinsi ninavyokupenda.
Nikamuuliza kama wapo kwenye mahusiano akaniambia alishatembea nae zaidi ya maramoja na wote ni majirani. Wanawake...
Mimi pia nilikuta charting kwenye simu ya mkewangu nilichofanya niliongea na jamaa akaniambia mkewangu alimwambia hajaolewa hivyo alisikitika sana na kuniomba msamaha na kilichonipa moyo ni kuwa ndo alikuwa anaanza kutongoza nimemuonya wife na nachunguza mienendo yake
Hapana biashara nimeanza nazo siku nyingi na zilishanipa mafanikio kama kujenga kuwa na gari kuwekeza katika ardhi ila yote haya yanapululuka kama manyoya ndicho namaanisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.