Kaka, kwanza nikupongeze kwa kuwa mbunifu. blog yako inaitwaje? . Kuna project naifanyia kazi naweza nikakusaidia kufanya promotion nichek pm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran kaka umeeleweka.
Nikisema modification ya Sender ID namaanisha uwezo wa kuweka Sender ID ili message inayotumwa kutoka kwenye service ikifika kwenye simu ya recipient haioneshi number inaonesha ile sender ID uliyo specify.. Nadhani unaelewa maana nimeona umeiongelea pia.
Ngoja...
Kaka.. Natafuta online sms gateway ambayo ni affordable kutumia , inaweza kutumika via rest API na ambayo inaruhusu modification ya sender ID.. in your experience what can you suggest.. Nataka kutuma tu messages.
Msaada wako bro. Thanks
Kukaa physically sio enough proof.. In fact unaweza ukakutana na mtu physically akawa amekushawishi virahisi kuliko ata online...
Mi nadhani cha msingi ni kujielimisha, kujua what you're dealing with na kufanya maamuzi baada ya kufanya research ya kutosha.
Dunia ya sasa ni Dunia ya online...
Watu walionunua bitcoin wakati ipo 200$ saivi ipo worth tens of thousands. High risk high reward. Calculated risks are part of the game.
Matapeli wanajulikana tu cha msingi ni mtu kufanya research kabla ya kukurupuka lakini ukisema fursa zote za online ni scam kisa huoni mtu mhusika unakua...
Tatizo ukipost picha wapo watu wanachukuaga picha na kufanyia matangazo wao.. Mwisho wa siku unakuta mteja ambaye yupo serious anaziona picha kila sehem anajua na mmi tapeli..
Upo sahihi mkuu ni kweli pure breed bongo wapo wachache na mmi mwenyewe binafsi nimekutana nao hao cross wengi tu.. Ila naomba tu niseme kuwa wapo cross breed German Shepherds ambao ni very good quality.
Nimekutana nao cross breeds wengi wanaoweza kupata mafunzo na kuwa na performance nzuri...
Upo sawa kabisaaa.. Wengi movie zinawadanganya.
Kuwa anti social ni character ya mtu binafsi na has nothing to do with coding. Lakini niseme tu kwamba ni professionals wachache sana wanaoipenda kazi yao kama programmers wanavyoipenda kazi yao. Ndo sababu wanaweza kukaa mda mrefu kazini /...
Acha kutumia kiwembe (Gillette), ndo suluhisho sahihi.. Kama huniamini.. Fanya jaribio, nenda kanyoe ndevu zako saluni kwa mashine kwa muda wa kama mwezi ivi bila kutumia kiwembe, nakuhakikishia utaona utofauti.
True chief.. Yani umetoa point hadi nmefurahi..
Currently it's convinient japo sio the best tbh kwa sababu inakua na compromises nyingi.. Ila the nature of innovation inakuaga ivo ivo tu, ata kipindi watu walikua wanaanza kutumia treni zilikua coal powered which wasn't the best.. But...
Earphones zipo ila ni implementation tofauti.. We are in the era of wireless charging kaka. Why have an earphone jack when we can go wireless? Ndo innovation io mzee.
Ata zamani simu zilikua na buttons skuizi ni touch screen phones tu.. Its all innovation. Same goes no bezels.. Its time for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.