Kama kweli alimsengenya alikosea sana,inabidi akubali matokeo!
Huwezi msengenya bosi wako hata afanyeje,alikosa hekima na alisahau kuwa nafasi aliyonayo wengi wanaitamani so one mistake and you are out!
Haya mambo mi sina hamu kabisa mana nilianza kuomba toka 2014 adi leo hii sijawahi kupata,kuna kipindi walipokua wanapangia tu watu bila interview wakasema wanaangalia walomaliza miaka ya nyuma cha kushangaza unakuta wengi wa 2020,2021 na sie wa 2013 tunaachwa!
Mkuu jipe moyo ila mambo haya huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.