Recent content by cocoitwa

  1. cocoitwa

    Dereva bodaboda ammeng'enyua mtoto

    umeiwasilisha vyema kwelikweli..
  2. cocoitwa

    Uenyekiti Umoja wa Afrika(AU): Tanzania kumtosa Kikwete?

    asiungwe mkono kwanza,kuna ishu ya ESCROW ipo hadharani (hot) atupatie majibu kwanza... ahahahahahahah!!!!!!
  3. cocoitwa

    Ni kuhusu nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi wa serikali

    tuendelee kuwa watu wa kukopakopa madukani mwa wafanyabiashara mtaani...... hata wao hari si nzuri... tutumie hizohizo,wanatukopeshaaaaa,ikifika mwisho wa mwezi tunawalipa wanafata tena mzigo.. maisha yanaenda. jpm kakaza uzi..
  4. cocoitwa

    Huyu mwanafunzi kapinda ha ha...

    hahahahhah... mutabazi ana mashauzi,kweli kapinda...
  5. cocoitwa

    Sitaisahau timu ya Newcastle katika maisha yangu

    kumbe betting!!!!!!!!!!? anyway me nakumbuka it was 1995 nilikuwa std six ambapo TV zilianza tanzania,DTV walikuwa wakionyesha epl live,na mechi yangu ya kwanza ya epl kuangalia live iliwahusisha blackburn rovers na newcastle united... wapi les ferdinand,shaka hislop,faustino asprilla,david...
  6. cocoitwa

    Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

    kweli ccm ni janga la milele kwa watanzania... inauma sana hasa ukiwa mwananchi wa kawaida au mfanyakazi wa serikali aka waliosahaulika aka ombaomba...
  7. cocoitwa

    Safari ya José Mourinho

    duuuh....
  8. cocoitwa

    Mzee na wake zake wanne

    hahahahahahahahh.. huenda mzee anawakula 0713,so jini kaona asihusike huko.. ni God tu atawaadhibu....
  9. cocoitwa

    NORTH KOREA: Floods have killed 133, 395 missing, 107K displaced

    kuna siku nilisikia kwenye tv rais wao akisema kuwa mafanikio la jaribio la urushwaji wa kombora (nuclear) la masafa marefu litawaweka mbali zaidi na maadui zao.. nashangaaaaa...!!!!!!!!!!!!
  10. cocoitwa

    Sheikh Kishki huu ni Ubaguzi, humjui Sheikh Ponda mpaka Waziri Mkuu Majaliwa amtambue?

    me si wa dini hiyo ila kama sh kishki kafanya hivyo makusudi basi kamkosea sana sh ponda, waislam na umma kwa ujumla. sh ponda sie mtu mdogo katika historia ya uislam tanzania ukilinganisha na yy sh kishki.. kwanza ni nani huyo sh kishki?
  11. cocoitwa

    Hodi, mgeni wenu nahitaji mwenza wa maisha

    Habari wana JF wote, Natoa pongezi sana kwa members wote wa JF kwa michango yao, ushauri, maelezo na hata baadhi ya tafiti wanazotoa katika Forum hii ili kuendeleza maisha na taifa kwa ujumla, nimevutiwa mno na JF hivyo nikaamua nami niwe member ili niweze kupata msaada. Turudi kwenye mada...
  12. cocoitwa

    Ni wimbo gani ukiusikilza unamkubuka Ex wako? Ukikumbuka vituko vyake unasema acha akafie mbali

    hahahahahahaaa... me ni ule wa 20% ujulikanao kama ya nini malumbano sijui... anaimba hv.. ya nini malumbano ya nini maneno... najiweka pembeni kuepusha msongamanoooo... hahahahahahhh na akafie mbele kweli.
Back
Top Bottom