tuendelee kuwa watu wa kukopakopa madukani mwa wafanyabiashara mtaani...... hata wao hari si nzuri... tutumie hizohizo,wanatukopeshaaaaa,ikifika mwisho wa mwezi tunawalipa wanafata tena mzigo.. maisha yanaenda. jpm kakaza uzi..
kumbe betting!!!!!!!!!!? anyway me nakumbuka it was 1995 nilikuwa std six ambapo TV zilianza tanzania,DTV walikuwa wakionyesha epl live,na mechi yangu ya kwanza ya epl kuangalia live iliwahusisha blackburn rovers na newcastle united... wapi les ferdinand,shaka hislop,faustino asprilla,david...
kweli ccm ni janga la milele kwa watanzania... inauma sana hasa ukiwa mwananchi wa kawaida au mfanyakazi wa serikali aka waliosahaulika aka ombaomba...
kuna siku nilisikia kwenye tv rais wao akisema kuwa mafanikio la jaribio la urushwaji wa kombora (nuclear) la masafa marefu litawaweka mbali zaidi na maadui zao.. nashangaaaaa...!!!!!!!!!!!!
me si wa dini hiyo ila kama sh kishki kafanya hivyo makusudi basi kamkosea sana sh ponda, waislam na umma kwa ujumla. sh ponda sie mtu mdogo katika historia ya uislam tanzania ukilinganisha na yy sh kishki.. kwanza ni nani huyo sh kishki?
Habari wana JF wote,
Natoa pongezi sana kwa members wote wa JF kwa michango yao, ushauri, maelezo na hata baadhi ya tafiti wanazotoa katika Forum hii ili kuendeleza maisha na taifa kwa ujumla, nimevutiwa mno na JF hivyo nikaamua nami niwe member ili niweze kupata msaada.
Turudi kwenye mada...
hahahahahahaaa... me ni ule wa 20% ujulikanao kama ya nini malumbano sijui... anaimba hv.. ya nini malumbano ya nini maneno... najiweka pembeni kuepusha msongamanoooo... hahahahahahhh na akafie mbele kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.