Wewee!! Sio kwamba nabeza juhudi ya malezi yako hapana, ila when it comes kwenye hili jambo, omba lisitokee.
Unaweza ukawa unahisi una mmudu kwa kila hali, kumbe ni unajidanganyaa.
Mtu akiamua kuliweka silent mode, basi ni hivyo tuu.
Utandawazi ndio umeamua iwe hivi, hata sasa ikiamuliwa wachukuliwe km wamezaliwa hivyo na wasirubuniwe mbona hakuna shida.
Tatizo ni mabazazi wakiona tu mtoto au mtu yuko hivyo wanamfata na kumuharibu.
Tabu tupu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.