Recent content by cocastic

  1. cocastic

    JamiiForums Tanzania Sasa ni dhahiri Awamu ya 6 imeipiku Awamu ya 5 kwa Unyama, Utekaji na Mauaji

    😭😢😭😢
  2. cocastic

    JamiiForums Tanzania Mitego ya Mitandao: Changamoto za Online Dating ukiwa Mtu Mzima (Umri 30+)

    😂😂😂😂
  3. cocastic

    JamiiForums Tanzania JF Houseparty

    Kuna watu wana windwa, sasa jichanganyeni mkadakwe. Kila la kheri.
  4. cocastic

    JamiiForums Tanzania Mwalimu anatufanya tutafakari zaidi vyanzo vya fedha vya Tajiri G ,Timu Y na mwenendo mzima wa ligi N ya Nchi ya T

    Mfukoni kwa nani? Ndo zoeni kila wachezaji, si zipo mfukoni.
  5. cocastic

    JamiiForums Tanzania Mwalimu anatufanya tutafakari zaidi vyanzo vya fedha vya Tajiri G ,Timu Y na mwenendo mzima wa ligi N ya Nchi ya T

    Sasa utakubali, wakati yuko upande wako? Lol
  6. cocastic

    JamiiForums Tanzania Mwijaku ana matatizo yake ya Kibinadamu kama tuliyonayo wengine wote, ila kwa alichokiposti Instagram Kwake dakika 47 zilizozipa nakubaliana nae 100%

    Uongo na udanganyifu kwa sasa tuuweke pembeni, tu focus na match muhimu ya kesho.
  7. cocastic

    JamiiForums Tanzania Hii ya Selemani Mwalimu kwenda Yanga Ahmed Ally akamatwe, kadanganya umma

    Huyo Sele na Aende huko utopoloni, wala hakua na umuhimu huo kwenye club yetu.
  8. cocastic

    JamiiForums Tanzania Kwa Hasira nilizonazo juu ya Kinachoendelea sasa Simba Sports Club nakuomba Fei Toto usije Simba SC bali nenda zako Yanga SC

    Tatizo hili sasa. Basi ndio uache kulalama kwenye pesa za wenzio, ukitaka toa zako mfukoni weka kwa club ili waletwe wachezaji uwatakao.
  9. cocastic

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Hivi Sele ndio wa kupambwa namna hii? Sio huyu aliyekua anachambwa wazi hadi na hao wana yanga, eti Leo kageuka Lulu, kweli Wabongo kwa UNAFIKI hawajambo. Khaaah.
  10. cocastic

    JamiiForums Tanzania Hii timu yangu ya Simba kumbe bado ni takataka 🚮

    Kikosi kiko vizuri labda maboresho ni machache, kipa na no 9 halisi baasi. Hizi nyingine ni lawama za kiwaki mmmh.
  11. cocastic

    JamiiForums Tanzania Mo Dewji aahidi $11.3 milion kwa ajili ya uwanja wa Simba

    Km mo hafai toa hela zako wewe za usajiri ili ulete wachezaji unao wataka. Pesa ina kanuni zake. Lol
  12. cocastic

    JamiiForums Tanzania Magori: Selemani Mwalimu mchezaji gani yule wa kumlipia Tsh. Bil. 1 kwa mkopo?

    Sele hakua na impact kihivyo, na hata alipokua kikosini alikua benchi, na hata angekuwepo bado angeanzia benchi, sasa ana thamani ipi ya kupewa 1B tena kwa mkopo? Hao waliomchukua wana pesa za kuchezea na wanajua Pa kuzitoa.. Utakatishaji ktk ubora wao, na sahivi yuko uongozini basi atabaluza...
Back
Top Bottom