Mie hadi sasa hivi bado sielewi. Km hiyo Video yenye maneno ambayo lissu kashitakiwa, mahakamani imekataliwa kuwa ni takataka, sasa hii case iko hapo kwa msingi upii? Ikiwa ushahidi mkuu haupo.
Mbona sielewii kabisaa.
Brenda leo kakiwasha sanaa, halafu hili li katuga bichwa cabbage limeanza upuuzi wake was maswali ya kiwaki. Yaan huyu sijui yukojee km limetoroka milembe, sijui limeahidiwa nini hili li mbwa linanikera hadi baasi, pumbaavu.
Ila Nyerere kwenye suala la Muungano alipuyanga mno, sijui usomi wake was Makerere Ali uacha wapi, hadi Baharia mvuvi karume kumpiga bao la akili.
Daaah Mzee huyu katukosea sana Wana Tanganyika,
😢😢😭😭
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.