Hivi Sele ndio wa kupambwa namna hii? Sio huyu aliyekua anachambwa wazi hadi na hao wana yanga, eti Leo kageuka Lulu, kweli Wabongo kwa UNAFIKI hawajambo.
Khaaah.
Sele hakua na impact kihivyo, na hata alipokua kikosini alikua benchi, na hata angekuwepo bado angeanzia benchi, sasa ana thamani ipi ya kupewa 1B tena kwa mkopo?
Hao waliomchukua wana pesa za kuchezea na wanajua Pa kuzitoa..
Utakatishaji ktk ubora wao, na sahivi yuko uongozini basi atabaluza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.