True or not, either way, but i love this. Masimulizi yako yamenikosha sana. Nimekumbuka simulizi ya Bwana Ibrahimu Chande na wakeze[emoji16][emoji16]. Kudoos[emoji123]
N.B upatapo wasaa, chondechonde jihimu kutuandikia mwendelezo wa simulizi hizi
We fala umenifanya nicheke mpaka demu wangu amejua nimemsamehe hapa kumbe bado nina hasira nae. Usirudie siku ingine mkuu.
Ila kwa ushauri, hawa walinda amani huko waliko Mungu awasaidie lakini wewe usilaze damu. Kandamizaaaaa!!!
Mkuu, elimu ni jasho. Na ili upande elimu ya kweli sharti ufaulu ktk mitihani yako.
Kama hana vigezo vya kufaulu basi na afelie mbali. Tutapunguza graduates ambao hawako qualified. Mkufunzi akaze kamba pale pale, kuwa its a fail. Big full stop. Hii itamsaidia huyo binti ajipange upya.
Dunia inakwenda kasi sana, utandawazi nao haukubaki nyuma.
Kila mtu anatafuta mafanikio, na kwa tafasiri yetu mafanikio ni pesa! Ni sawa. Tafsiri upendavyo, mafanikio utayahusisha na pesa at some point! Lazima.
Wengi wameuza utu wao juu ya mafanikio,
Wengi wamekatiza masomo kutafuta pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.