Hiyo nyumba yako ya gholofa moja hata hujaezeka imetumia 90m. Sasa fikiria inaingia mara ngapi kwenye yale magholofa ya floor nne nne. Then tafakari kama 10b is real cost.
"Hatuna marafiki wa kudumu wala maadui wa kudumu", G. W. Bush. We vipi bwana unadiliki kumuita rafiki mtu anayegeuka kama kinyonga?! Mtu ambaye mkianza kupigana atauza silaha pande zote mbili na kuchochea mpigane zaidi ili avune hadi vitu vyako vyote vya ndani! Unawategemea watu ambao mkianza...
Lazima tukubali Security level yetu ipo chini sana, polisi yetu anaweza kupokea hata buku 5 tu akaruhusu gaidi akapita(Potelea mbali watakaolipuliwa maadamu yeye kapona njaa). Kwa jinsi Wamarekani wanavyowindwa na mitandao ya magaidi popote pale ulimwenguni kamwe hawawezi kuweka rehani yoyote...
If you are a leader of a certain movement against certain higher powers then automaticaLly you are a number one target because once you are down and the movement is down or taken to several steps backward. Yes you risk several times but never let yourself die easily on the process.
If Mbowe...
"Tanzania imegeuka, chini ya usimamizi wa wizara ya serikali hii ya ccm, kuwa TAIFA linalowateka nyara wanahabari, kuwatesa, kuwang'oa kucha na meno, kuwatoboa macho, kuwamwagia tindikali au hata kuwaua", Sugu.
- Je si kweli Tanzania kama TAIFA limewafanyia hivyo wanahabari kadhaa, bila kujali...
Mkuu, si estate manager wala finance manager wala kiongozi yoyote wa UDOM anayehusika kwa namna yoyote kwenye hela za ujenzi wa hicho chuo. Majengo yote yanajengwa kwa hela za mifuko ya jamii (NSSF, PPF, etc) na wasimamizi wote wanatoka kwenye mashirika hayo, wakandarasi na washauri ujenzi wote...
Mkuu unahitaji Mungu aje kukuambia una Gas, mafuta, maji na madini ardhini?? Unahitaji Mungu akuambie uyalinde na uyatumie vipi?? Incredible!!!!
Hivi nikiwa na Dhahabu nikaamua nisiiuze leo kwa sababu naona mimi si mtaalamu wa masoko yake, naona ntaibiwa tu, naona ngoja nisomeshe kwanza watoto...
Mkuu RR maswali yako yote ni ya msingi sana. Imefikia wakati Watanzania hatutaki kabisa kufikiri, siasa imetuharibu fikra na sasa kila tatizo letu ili kulitatua tunaanzia kisiasa na tunajikuta hatufikii hata kwenye utaalamu na mbaya hata zaidi utatuzi wa kisiasa ni wa kuiga walichofanya au...
Mimi ni Mhandisi wa umeme (Electrical Engineer),Ngoja niwape shule kidogo sio mnaropoka ropoka tu kama majuha;
1. Jengo hubuniwa na Msanifu majengo (Architect) kulingana na mahitaji, matakwa na uwezo wa mteja wake ili mradi sheria za miji zinaruhusu; jengo unaloliona hapo ni matokeo ya kazi ya...
Ni Uchambuzi mzuri lakini naomba nipingane na wewe kwenye umalizio wako au niseme ungeongeza point ya Serikali yenyewe kuhusika moja kwa moja kuyafanya hayo.
Huwezi kuitoa serikali kwa kigezo eti ni utoto kufanya hivyo. Tumeshuhudia serikali ikifanya mambo mengi sana ya kitoto kabisa au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.