mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Baada ya kuona hali ngumu na wanashindwa kulipa mikopo...Wanata kuleta sheria ya kipuuzi ya miaka 55 mpaka 60 ndio upate Mkwanja wako.
continue to dont think so.I dont think so. May but I dont think so.
CAG nae ni mnafiki tu! kwa sababu kunawakati wanafunzi wa UDOM waligoma na dai moja wapo ni kuwa estate manager na mkuu wa finance ambaye ni maarufu kama Porf Mlacha wanatumia pesa za ujenzi kwa manufaa yao!
Mfano malacha amechukua viti vya chuo cha dodoma na kupeleka kwenye shule yake alikanjenje makanya same! n.k, huyu estate manager kajenga mijengo kibao ya zaidi ya 100mil kwa kila 1,moja wapo lipo msuguli mbezi ambapo nicollage inaitwa mlimani school of business!
Lakini CAG alipo kagua mahesabu akapitisha kuwa wako sahihi tu na hakuna ubadhilifu wowote, sasa iweje leo akubaliane na kusema kuna makosa ya kimahesabu ujenzi wa chuo cha dodoma!
Kifupi CAG mwizi, mifuko ya jamii nao wizi walioufanya kwa muda mrefu kwa kuibeba serikali hata vitu visivyo wahusu kama makampeni! ndio hii sasa! nabado kunamwashirika kibao tu! mwisho wa siku ata ikulu itabinafsishwa sasa!
mkuu, si estate manager wala finance manager wala kiongozi yoyote wa udom anayehusika kwa namna yoyote kwenye hela za ujenzi wa hicho chuo. Majengo yote yanajengwa kwa hela za mifuko ya jamii (nssf, ppf, etc) na wasimamizi wote wanatoka kwenye mashirika hayo, wakandarasi na washauri ujenzi wote wako chini ya hayo mashirika. Hao viongozi wa udom wanakabidhiwa majengo tu, hawajui chochote juu ya pesa za hayo majengo unawaonea tuu.
Kama kula hela basi ni zingine tu labda za usimamizi wa hayo majengo (maintenance costs)
kungekua nauwezekano wakukupa like kama kumi ningekupaUdini unawapeleka Shimoni Nssf.
Kinachoimaliza nssf ni miradi fictitious,over inflated ya garama za miradi,usanii wa ujenzi was shule ya michezo na real Madrid ambao nasikia wametapeliwa na watafikishwa mahakamani,udini ulopitiliza,over employment na mabosi kujitajirisha kupita kiasi na ndugu zao,Ni kweli NSSF iko taabani lakini sababu ni nyingi moja kubwa ni hili swala la kugharamia uendeshaji wa serekali lingine ni miradi yake mingi haina tija na kujikuta fedha zake nyingi zikipotea bure.Mradi wa ujenzi wa UDOM umechota fedha nyingi wakati hata mkataba haujasainiwa,miradi ya majengo mengi ni kwaajili ya ulaji wa wakubwa.Chama cha wafanyakazi wa sekta mbali mbali yafaa waungane kupinga uonevu wa wafanyakazi unaandaliwa chini ya mwavuli wa kuficha utawala mbovu wa serekali ya CCM.