TEC Wamefanya vyema Sana kuwafafanulia waumini wao vitu ambavyo hawavielewi...hao masheikh nao wakawafafanulie waumini wao kwanini wanaunga mkono mkataba huo
Leo mzee wa msoga ametuhadaa kwa kusema baraza la maaskofu wanachanganya dini na siasa ila masheikh wanaounga mkono mkataba wa DP WORD hawachanganyi dini na siasa....
Yupo wapi JAKAYA MRISHO KIKWETE WA 1995??? Ujasiri wake wa kuchukua fomu ya urais kipindi hicho atuonyeshe na leo 2023 kwa...
Na kwa ufupi tu Raila odinga yupo kwenye politics since miaka ya 80 na ana influence kubwa sana pale kenya.ni genious wa siasa pale kenya.samoei haezi Vita yake
WSR Ana blood laukemia long time ago ndo maana uhunyee alimsaliti akijua hatoboi akatamani RAO ndio akue presdaa lakin ndio hivyo mzee wa bottom up economy Mr WSR na mkewe bibie RACHEL mungu bado anampigania hiyo blood laukemia wanaiona kama mafua
Afande rama kashinda tu kesi kwa sababu mashahidi waliokua wanatoa ushahidi sio wale walokua wanamlawiti pia yeye ndo alikua mlawitiwa kwhy ilikua ngumu jamuhuri kushinda ile kesi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.