Recent content by CMBO

  1. CMBO

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Genk Lens Villarreal Odds 5 hizo Nyingine kama una ujasiri lakin Club brugge Augsburg Roma Again ya tatu Slavia prague Real sociedad Valladolid Wa mwisho Atletico madrid Napoli Lazio Arsenal Thanks me later
  2. CMBO

    Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

    I second u, naumia zaidi sababu tuna mtt na nampenda kuliko kitu chochote na amekuwa so emotional baada ya kugundua baba yake sipo sawa, ukweli ni kwamba ameshindwa kubalance btn new love na mtt amemuweka pembeni am not oky with that as mtt anapata mateso ambayo hastahili, I know hajafata...
  3. CMBO

    Unaweza kuamini picha hii ni ya kuchora kwa mkono

    Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. CMBO

    Unaweza kuamini picha hii ni ya kuchora kwa mkono

    Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. CMBO

    Unaweza kuamini picha hii ni ya kuchora kwa mkono

    Kuna bint mmoja anachora kwa bic nae yupo vizur sana Eva Garrido Sent from my iPhone using JamiiForums
  6. CMBO

    Unaweza kuamini picha hii ni ya kuchora kwa mkono

    Huyu mtu ni special case marco grassi Sent from my iPhone using JamiiForums
  7. CMBO

    Taja starehe 3 ambazo ndo kila kitu maishani mwako

    1.my son safety 2.money in my account 3. Pombe, fegi, NB. Sipendi kulala nikilala sana naumwa na kichwa na mwili Sent from my iPhone using JamiiForums
  8. CMBO

    How I Met My Wife

    If this is true story am humbled maskini tuna vitu tunafurahia hata ni uongo ila nime enjoy every part God bless u kiga Koyo na watoto wako wakue katika maadili na afya njema, nipo npata kinywaji alone ila my face shows happieness naamin hata wanaopiga story na wapenzi wao wanajiuliza huyu mtu...
  9. CMBO

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Humiliation i cant take this Sent from my iPhone using JamiiForums
  10. CMBO

    Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

    Unatoka huku na malalamiko unaenda kule unalalamika unarudi tena ulipotoka, sijui wnatumia akili gani hawa watu ila kwa akili ya kawaida sijui kama kuna mbunge anaweza kuacha m 200 kwa sababu yoyote ile wanazingua hali zao za kimaisha hazijafika level hzo na wenyewe wanajua hilo Sent from my...
  11. CMBO

    Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

    Mimi binafsi aliehama CCM na kwenda upinzani kusaka demokrasia then akapata nafasi upinzani ya kuwakilisha wananchi baadae anahama tena anarudi CCM na kusema CCM na kusema kuna demokrasia wakat alihama kwa sababu hyo ( wapo wengi) kwanini wasianzishe chama chao chenye demokraisia ya kweli ambayo...
  12. CMBO

    NMB wakala

    Wakuu kwa yeyote ambae either kashawahi kuwa wakala wa NMB yaani anamiliki POS yao, na kwasababu yeyote ile aliacha biashara au anataka kuachana na hiyo biashara mimi shida yangu ni hiyo mashine. Kama tunaeeza kufanya biashara (aniuzie) then twende branch tubadilishe details niitumie, nipo...
  13. CMBO

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Nishawah nunu hapo perfume 150,000 nikakuta chenga kurudi wanaleta longo longo nilisamehe ila roho iliniuma sana, kwanza nauliza bei naambiwa 160,000 nikalipa kusubir resit mdada akanipa ya 150,000 na elfu 10 kaambatanisha, sikutaka kumuumbua ila nafika home nakuta maji matupu dah
  14. CMBO

    Ndege maalum iliyoondoka na Kipchoge ambaye anakwenda kuweka rekodi mpya duniani

    Na sisi waafrica si tungeneze ugonjwa wetu tuwapelekee ulaya na america wapungue tuwatawale, What we can do better ni kulalamika na kukiomoana waafrica ndo tulivyo, zama hz bado tunashare maji kisimani na punda halaf tunalaumu wazungu ambao hadi vyandarua wanatupa msaada, tuoneshe hata umwamba...
  15. CMBO

    Ndege maalum iliyoondoka na Kipchoge ambaye anakwenda kuweka rekodi mpya duniani

    Hv watu wanavyolalamika wazungu walikuja kutuibia rasilimali africa what made our fore fathers wasiende ulaya wao wakaibe rasilimali wazilete Africa kuendeleza bara letu, au america ulaya kote huko hakukuwa na rasilimali Africa tu ndo zipo! Tuache kulalama wazee wetu walikuwa wamelala usingiz na...
Back
Top Bottom