Asante sana, ngoma hewaniRuksa mkuu!
Yaani Paskali unatuita sisi manazi !!?, siamini kabisa, na ndio maana huwa najiuliza mara kwa mara, uko wapi utu uzima wako unaojitanabaisha nao ?, Paskali hayo maneno hayakufanani unless uwe umelewa, na inawezekana mimi huwa nakupandisha chati bure tu.Ni hapo tuu ndipo Chadema, viongozi wake, wanachama wake na manazi wa Chadema they got it wrong, hawana uwezo wa kutafakari na kuchukua hatua!.
Tangu ule waraka wa mabadiliko, ulikuwa na hoja za msingi sana, Chadema haina watu wenye uwezo huo.
Kati ya wanaondoka Chadema, ni kweli kuna malaya wa kisiasa ambao wanaondoka kwa umalaya malaya baada ya kutongozwa, lakini pia kuna wanaoondoka Chadema kwa kujitambua. Hawa wanaoondoka Chadema kwa kujitambua, kwanza huwaaga rasmi na kuwaambia makosa yenu, mmoja wao ni Dr. Slaa, mpaka sasa hajajiunga CCM, labda awe amerudi kwa siri. Na baada ya kuwaeleza ukweli, hutakaa uwasikie wakiibeza tena Chadema kwa lolote.
Mfano Lawrence Masha alipoondoka, aliwaandikia barua rasmi ya kuaga na akaeleza hoja zake, nami nikawasisitiza humu
PCHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali kuhusu Chadema, kuwa ni sikio la kufa, katika safari ya kuelekea kushika dola, Chadema kinafanya makosa, hivyo kinashindwa kushika dola, wako watu wenye uono, huwa wanakiambia Chadema makosa yake na kwa nini hakishiki dola, lakini Chadema hakisikii, kinaweka...www.jamiiforums.com
Sio tu ni wajinga lakini pia si ridhiki kwa sababu CCM ni genge la mashosti!Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Akihamia CCM asipopata Ubunge hana sifa ya kupewa kazi za kuteuliwa sasa nini kitamsukuma kuhamia huko? Kina Masinji kwa elimu zao wanajua teuzi zinazokuja watapewa ajirayaani hata yeye anatamani muda wowote ahamie ccm ila tu tatizo habakishagi akiba ya maneno ndiyo maana hana chakusema siku ya kuhamia ccm na ukizingatia na jimbo tayari ni la dadayetu sijui atyarudi kuimba?
Mkuu Costa, kwanza pole kwa tafsiri potofu ya manazi, sikumaanini ni vichwa nazi bali washabiki wakereketwa na wafurukutwa ambao huwambii chochote kuhusu Chadema or against Chadema.Yaani Paskali unatuita sisi manazi !!?, siamini kabisa, Paskali hayo maneno hayakufanani unless mimi huwa nakupandisha chati bure tu.
Sharp, sikufahamu kama neno hilo laweza kuwa na tafsiri hiyo, nilidhani nilivyojua awali umetutukana, anyway kama hukudhamiria kututukana then It is OK. lakini ieleweke kwamba alichokisema Mh Mbilinyi ni sahihi kabisa, hatuhitaji kusubiri nyinyi watetezi wa ccm mkubaliMkuu Costa, kwanza pole kwa tafsiri potofu ya manazi, sikumaanini ni vichwa nazi bali washabiki wakereketwa na wafurukutwa ambao huwambii chochote kuhusu Chadema or against Chadema.
Manazi wa vyama sio neno baya.
P
dah yaani unasoma shule kama ilboru halafu unakuwa kama hivi......hatari sana!Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga. Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Tuwaite Mashoga wa Kisiasa itapendeza zaidiHilo la kwamba ni wajinga wajinga wala halihitaji mjadala mpana wa kitaifa.
WEWE KWA AKILI YAKO UNAONA MTU ANAYEJIUNGA NA CCM ANA AKILI NZURI? YAANI UNAPOJIUNGA NA CCM UNAKUWA UNATAKA NINI HASA?Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!