Recent content by cloudear

  1. C

    Je, ni tatizo hili kulala na wapenzi wawili kitanda kimoja?

    hao wapenzi ni mabwege au dunia ina mvulana wewe tu?
  2. C

    Roho inauma,ushauri tafadhali

    umeoa alshababu, be carefully,
  3. C

    Kuhamisha mkopo toka Taasisi moja kwenda nyingine

    ila benk nying kwasasa hazinunui maden sababu ya tofauti ktk riba zao,
  4. C

    Kuhamisha mkopo toka Taasisi moja kwenda nyingine

    hakuna kujuta, kuna mtu alikuwa na mikopo, FAIDIKA, SACCOS, TUNAKOPESHA,NA NMB jumla mil 10, akaenda CRDB akakopa milion 17, wakamlipia madeni yake yote akabaki na 7mil, ila riba inakuwa ni yakukopa mil 17 nautakuwa na deni moja tu namakato sehemu moja, NB:huyo ni gvt employed
  5. C

    Nahitaji mkopo wa 1,500,000/=

    nenda nmb benk, au saccoz
  6. C

    Biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka- Fahamu bei zake, uendeshaji wa biashara hii pamoja na faida na hasara zake

    Habari wapendwa, Naombeni mnisaidie mwongozo nataka kuanzisha mradi wa mashine ya kusaga nakukoboa nafaka, gharama zake nizipi? uendeshaji wake? Je, biashara hii inaweza kunitoa kimaisha? nimetenga chumba kimoja nyumbani kwangu ndo nitawekeza humo mradi huo, natanguliza shukrani wapendwa...
  7. C

    Dada yangu atapata haki Kisheria baada ya talaka?

    ana sms za charting zamume nawanawake tofauti, mwakajana walifikishana ustawi, wakashauriwa wakarudi home
  8. C

    Dada yangu atapata haki Kisheria baada ya talaka?

    mali zao cc hazituhusu, tumeshasuluhisha sana ila mume anaona kama anahaki yakuzini nje tena haoni kuzaa nje kama kakosa, bado anamkomand dada awe normal tu asinune, nakwakuwa dada kanuna shem anafos ampe taraka ila asichukue chochote, wana nyumba mkoani ambayo uwapatia pesa kwakodi yawapangaji...
  9. C

    Dada yangu atapata haki Kisheria baada ya talaka?

    Dada yangu ndoa yake ina mgogoro 4 2months, wana 12yrs, ndoa yakikristo, 3kids ke 10yrs, me 8yrs, me 4yrs. chanzo ni uzinzi wamume uliokithiri, anazini na wanafunzi, wanawake wamtandaoni, karibu kila kona anahawara, mara yamwisho dada alifuma sms kwenye simu ya shem, inasema, ''mke wangu...
  10. C

    Kuna ubaya gani kumpa zawadi hii?

    binadamu tunatofautiana sana cherehani haina maana awe fundi nguo no, atakapokuwa nafamilia aweze hata kuripea nguo zikitatuka hata kuchanika, apinde kanga vitenge, ashone nguo zakushindia wanae. mf, mimi mamangu alinitunuku cherehani siku ya send off akanihusia, nanukuu "mwanangu nimekuandalia...
  11. C

    Majaribu chungu nzima

    wanaume jamani! mungu atupe uvumilivu wanawake, ebu fikiri mkeo nae angeenda semina maybe, usikie et kuna jamaa analala chumbani kwamkeo japo hawafanyi chochote ungejisikiaje? umeshindwa hata kutumia uanaume wako kumtimua kahaba huyo chumbani mwako? una mke, mtoto unamwaza malaya? yani binti...
  12. C

    Tuwe na tabia ya kusifia wake zetu

    kusifiwa kuna ongeza kujiamini kwawatu jamani, utashangaa nje wanakusifu nyumbani umetoka hata ujaambiwa umependeza
  13. C

    Rafiki yangu katelekezwa pamoja na mtoto mdogo

    nashindwa kuelewa nguvu namamlaka yaustawi, jamaa aliambiwa atoe laki akadai anamajukumu mengi, akasema ataweza 50, ajabu kapeleka 25 wamepokea anasema amepata hiyo tu kwajuly, dada kaomba akatiwe bima yamtoto hukohuko ustawi kaka akajibu fomu imejaa, hivi ustawi hawawezi kukomand? nasikweli...
  14. C

    Rafiki yangu katelekezwa pamoja na mtoto mdogo

    kalazwa bure dawa alizoandikiwa kaambiwa hakuna amenunua pharmacy,
Back
Top Bottom