Dada yangu atapata haki Kisheria baada ya talaka?

Dada yangu atapata haki Kisheria baada ya talaka?

Nyie familia mtulizeni dada yenu;
talaka siyo nzuri, ataishia kuolewa na kuachika tena mwisho ataonekana mhuni.
Hata kama atapewa mali .............?

Kulea watoto pekee yako siyo lelemama, mwisho hata ndugu wanakuacha.

............... by the way mpe pole.

Huwezi endelea ishi na mzinzi ni tabia isiyo vumilika.
Unafikiri watoto wanajifunza nn kuptia kwa migogoro ya kila cku isiyo isha. Kwanza inawadhuru.
Itakua vizur zaid akicheck na afya yake
Maana hashindwi letewa magonjwa
 
duh shemeji nilijua utatangaza tuu........ kwa taarifa yako mali yote na kila kitu namuachia ni vya watoto, naondoka kesho.
uje uhamie kabisa....ndo ulichokuwa unaombea siku zote.....
 
Poleni kwa matatizo mkuu,naomba nishauri kidogo
taraka ya mahakaman haitoki kama taraka katika ndoa ya kiislamu kwamba unaenda msikitini nakupewa taraka yako au unajifungia chumban ukitoka unatoka na talaka.
kwa mujibu wa sheria ya ndoa kabla ya taraka kutoka itabidi kwanza wanandoa wasuluhishwe kwenye conciliation board,either kanisani au ustawi wa jamii,ikishindika uko party uliyo aggrieved atapatition mahakaman kwa ajili ya kuomba talaka,baada ya talaka kutoka then yatafunguliwa mashauri mengine ya kuomba ngawanyo wa mali kama mmoja hatoridhika na mgawanyo ataapeal mahakama kuu..
 
Poleni kwa matatizo mkuu,naomba nishauri kidogo
taraka ya mahakaman haitoki kama taraka katika ndoa ya kiislamu kwamba unaenda msikitini nakupewa taraka yako au unajifungia chumban ukitoka unatoka na talaka.
kwa mujibu wa sheria ya ndoa kabla ya taraka kutoka itabidi kwanza wanandoa wasuluhishwe kwenye conciliation board,either kanisani au ustawi wa jamii,ikishindika uko party uliyo aggrieved atapatition mahakaman kwa ajili ya kuomba talaka,baada ya talaka kutoka then yatafunguliwa mashauri mengine ya kuomba ngawanyo wa mali kama mmoja hatoridhika na mgawanyo ata appeal mahakama kuu..
 
Umeeleza upande momja ndugu upande wa pili bado nao utasikilizwa sheria itafata mkondo kibaya zaidi unazitolea macho mali badala ya kusuluhisha
 
Poleni kwa matatizo mkuu,naomba nishauri kidogo
taraka ya mahakaman haitoki kama taraka katika ndoa ya kiislamu kwamba unaenda msikitini nakupewa taraka yako au unajifungia chumban ukitoka unatoka na talaka.
kwa mujibu wa sheria ya ndoa kabla ya taraka kutoka itabidi kwanza wanandoa wasuluhishwe kwenye conciliation board,either kanisani au ustawi wa jamii,ikishindika uko party uliyo aggrieved atapatition mahakaman kwa ajili ya kuomba talaka,baada ya talaka kutoka then yatafunguliwa mashauri mengine ya kuomba ngawanyo wa mali kama mmoja hatoridhika na mgawanyo ataapeal mahakama kuu..

Alie kwambia talaka za ndoa ya kiislam zinatoka ivo ni nani. Usiongee usichojua
 
atapata mali kabisaaaaaa

mwambie apambane mfyuuuu zake huyo mwanaume mzinzi...mali za watoto aziangalie yeye kwa kuwa ndiye mwenye macho au?????

Tena mwambieni atangulie mahakamani


ngoja nishushe jazba narudi
asante mwanasheria mwanaharakati BADILI TABIA
 
Last edited by a moderator:
Poleni kwa matatizo mkuu,naomba nishauri kidogo
taraka ya mahakaman haitoki kama taraka katika ndoa ya kiislamu kwamba unaenda msikitini nakupewa taraka yako au unajifungia chumban ukitoka unatoka na talaka.
kwa mujibu wa sheria ya ndoa kabla ya taraka kutoka itabidi kwanza wanandoa wasuluhishwe kwenye conciliation board,either kanisani au ustawi wa jamii,ikishindika uko party uliyo aggrieved atapatition mahakaman kwa ajili ya kuomba talaka,baada ya talaka kutoka then yatafunguliwa mashauri mengine ya kuomba ngawanyo wa mali kama mmoja hatoridhika na mgawanyo ata appeal mahakama kuu..

Mkuu, je kama wanawatoto wanagawana vipi mali? Nikitaraji mali ni kwamanufaa ya watoto. Mfano wananyumba inauzwa au?
 
mali zao cc hazituhusu, tumeshasuluhisha sana ila mume anaona kama anahaki yakuzini nje tena haoni kuzaa nje kama kakosa, bado anamkomand dada awe normal tu asinune, nakwakuwa dada kanuna shem anafos ampe taraka ila asichukue chochote, wana nyumba mkoani ambayo uwapatia pesa kwakodi yawapangaji, usafiri, je asiombe amwachie?
 
Kama mmesoma vizuri mume ndo anataka kutoa talaka na mke amekua mvumilivu sana.
Talaka haitolewi mahakamani mpaka wapitie mabaraza ya usuluhishi na washindwe kusolve
Watoto chini ya miaka 7 wanatakiwa kuishi na mama labda ithibitishwe hataweza kuwalea
Watoto wenye miaka 7 kwenda juu watachagua wanataka kuishi na nano
Mali zilizopatikana wakiwa ndani ya ndoa zitagawanywa kwa kuzingatia ndoa ni ya kikristo, kiislam, kimila au ya kiserikali.
Wanaume hata kama imewalazimu kucheat waheshimuni wake zenu
 
Mali lazma zigawanywe ila sio lazma nusu kwa nusu inategemea na aina ya ndoa, hahaa naona umebase kwenye mali zaidi, kama ndugu yako anaweza kuendelea kuvumilia avumilie watengane vyumba, ila kama baba ataendelea kudai talaka hamna namna! Duh! wanawake tumeumbiwa uvumilivu
 
aiseee! ndoa.
Tatizo letu Watanzania tunapenda kueleza mabaya na si mazuri. Na mara nyingi sana tunapenda kugeneralize tu. Katika ndoa jambo kuu ni kuwa mwangalifu na uwazi tangu day one. Mzani usipobalance (ubinafsi) hapo ndipo mwanzo wa kulalamikia ndoa.
 
Sometimes it is wise to stay 'bachelor/bachelorette'...no matter how senior you are!
 
Dada yangu ndoa yake ina mgogoro 4 2months, wana 12yrs, ndoa yakikristo, 3kids ke 10yrs, me 8yrs, me 4yrs. chanzo ni uzinzi wamume uliokithiri, anazini na wanafunzi, wanawake wamtandaoni, karibu kila kona anahawara, mara yamwisho dada alifuma sms kwenye simu ya shem, inasema,
''mke wangu nakumiss sana napanga nije tena Arusha tumtafutie Bryan mdogo wake amekua sana, mke huyo akamjibu we mi naogopa usije ukanitelekeza tena.''

Dada akamuuliza kumbe una hawara hadi umezaa nae? Mume kawa mkali anadai dada hana adabu kwanini apekuepekue simu yamumewe? Mke akalia sana mume hajali, sasa hawasemeshani kilammoja anafanya lake, mke anajiendeleza chuo, hutoka asubuhi anarudi jioni kimya, jana kaja kwangu tumeshinda kanisani maombi, kufika kwake ugomvi ukatibuka mume anadai J4 ataenda kumpa talaka mahakamani sababu anakiburi eti watu huishi nawanaume malaya nakuwaheshimu, kwanini ye hamheshimu kaambiwa awaache watoto kwamume, namali zote haziache nizawatoto, mume ataziangalia, dada anataka wanae na mali.

Je, atapewa wanae namali kweli?

Ingekua rahisi hivyo kutoa talaka mie ningeshampa wangu tangu mwaka jana. Ila pia ni kweli wanaume wengi ni malaya sana na siku hizi gredi imepanda kutokana na ugumu wa maisha na uchaguzi hapo Octoba 25 weka kichinjio sawasawa tukaokoe taifa na Lema pia atafanikisha hili maana yeye ni bingwa wa siasa za mitandaoni na akishakuwa waziri wa mambo ya ndani mtashika adabu wacha nikate kiloba cha nne hapa.
 
Back
Top Bottom