wanaume jamani! mungu atupe uvumilivu wanawake, ebu fikiri mkeo nae angeenda semina maybe, usikie et kuna jamaa analala chumbani kwamkeo japo hawafanyi chochote ungejisikiaje? umeshindwa hata kutumia uanaume wako kumtimua kahaba huyo chumbani mwako? una mke, mtoto unamwaza malaya? yani binti aliyetayari kuingiliwa namtu hata hamjui healthstatus yake nae unamuulizia et nifanyeje? kama kwako kajileta alale ovyo uchi chumbani mwako, je walotangulia? mweshimu mkeo, tena chunga afya yako sana naheshima yako kama mume na baba, mtu yupo kwenye ratiba zake zauzinzi unawaza kuambatana nae kwalipi lamaana kwako? nakushauri kama unatamani mchepuko tafuta out of your workplace sio huyo, ukijidharirisha kwahuyo utajuta, uanze kupata workstress bure,