Recent content by clopp

  1. C

    Sishauri Forker 50 na Forker 28 ziwe 'Branded' kama Ndege za Kibiashara za ATCL

    Acha na sisi tuzipande angalau mpaka Dodoma tu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. C

    Ukiishi maeneo haya jijini Dar huwezi kufanikiwa hata kidogo

    Mawazao mgando hayo, wewe unaishi wapi na umefanikiwa wakuliko watu wanao ishi maeneo hayo uliyaorodhesha? Labda nikujulishe tu kuwa kufanikiwa ni juhudi ya kazi yako .
  3. C

    Picha ya wasichana kwenye "Kongamano la wasioolewa"

    Mbona wengi sana ,mtoa mada hebu tujuze hilo kongamano bado linaendelea au vipi ili niende kupiga jicho maana kama nimeanza kuvutiwa na yule pale alie suka wa katikati kabisa
  4. C

    Kurithi au kuchukua nafasi aliyokuwa anaishikilia baba au mama yako ni laana kubwa

    Sio kweli, mbona kama unajazba vipi ndio umeamka au?
  5. C

    Mwanangu wa kike wa chekechea kaniuliza "tutakaa kwenye nyumba ya kupanga hadi lini"?

    Mwanao kakupa live anataka ujenge nyumba, naye ajivunie nyumba ya babake
  6. C

    Mashambulizi kwa Dk. Malasusa ni mbinu za wanasiasa kuibomoa KKKT?

    KKKT itaendelea kuwapo tu bila malasusa
  7. C

    Aambiwa na Pasta avue nguo ya ndani aombewe ili apate mchumba

    Ningenda kwanza kujua hilo tukio limefanyika wap kabla sijatoa mtizamo wangu.
  8. C

    Wazazi wenye Wachezaji hawa wafuatao wa Yanga SC waonyeni wasikubali kubebeshwa ' Hirizi ' mtawakosa

    Mpira utachezwa uwanjani, wewe unabaki kuhangaika au ndio timu yako itapigwa 7 umeanza kuweweseka, subir dk90 zitaamua tu
  9. C

    Msaada: Hela ya unga, nakufa njaa

    Vocha umepata wap, ungenunua unga kwanza
  10. C

    Maisha yangu mabaya sana nakaribia kujiua

    Iliyoandikwa hapo na mtoa mada naona kama sio laki mbili ni zaidi ya laki Mbili. Au nivae miwan
  11. C

    Computer4Sale Laptop acer inauzwa laki 430

    Ni vyema sana ungeweka bei, ili kila moja ajue na kama atakuja pm, basi atakuwa na uhakika na bajeti yake.
  12. C

    Sitasahau nilivyomkomesha FATAKI wa mtaani kwetu!

    Basi fanya ungwana kamrudishie pesa zake
Back
Top Bottom