Mawazao mgando hayo, wewe unaishi wapi na umefanikiwa wakuliko watu wanao ishi maeneo hayo uliyaorodhesha? Labda nikujulishe tu kuwa kufanikiwa ni juhudi ya kazi yako .
Mbona wengi sana ,mtoa mada hebu tujuze hilo kongamano bado linaendelea au vipi ili niende kupiga jicho maana kama nimeanza kuvutiwa na yule pale alie suka wa katikati kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.