Mkanganyiko ni upi mkuu hapo?
Ingekuwa sehemu nyingine wanasema alitokwa na damu mguuni, pengine wanasema kichwani, hapo ingekuwa mkanganyiko.
Mkanganyiko upi unazungumzia mkuu.
Kwa sababu kule tuliishia hivo unasema nimeweka maneno yangu kwenye Hadith wakati mi sijatia hata neno hata moja langu. Ila wewe neno kuwafukuza wote na kuwaacha waislam pekee hujataka kutolea ufafanuzi.
Unaishia tu kusema hakuwafukuza wote,
"Hadi wabaki waislam tu" hapo ndo unaporuka
We jamaa umekuja kunisema huku sio😂😂
Umeikimbia ile mada yako nyingine umeanzisha hii.
Nakupa tena na hii,
Sahihi Muslim 2167a
Kaangalie tena hiyo uone mafundisho ya Muhammad yalivyo ya kikatili.
Hapo eti hataki waislam mkikutana na wakristo muwasalimie, Kisha anasema lazimisha huyo mkristo...
Halafu yapo mafundisho mengi tu ya mtume wenu ambayo ukiyafata tu lazima uonekane mtu mwenye misimamo mikali. Ukiachana na hilo la kuwafukuza wasio waislam, lingine hili: Tetea tena.
Hapa anatoa marufuku kabisa ukikutana na mkristo au myahudi usimpe salamu hadi yeye aanze. Kisha unapokutana nao...
Mzee, mi sijaongeza neno lolote nje na Hadith.
Nimekuuliza hujibu,
Hujaona ambapo anasema hadi wabaki waislam peke yao?
Kuwabakisha waislam peke yao ndo kuwaondoa wote wasio waislam. Nini kigumu kuelewa hapo?
Ok twende polepole mkuu
Kwenye hiyo Hadith mtume wenu anaahidi kuwafukuza wasio waislam,
We unatetea kusema hawafukuzi wote, je; umeona ambapo panasema "hadi wabaki waislam tu" au hilo hujaona?
Tuanzie hapo kwanza, tujifunze kwa upendo tu bila marumbano.
We jamaa unanijibu kwa kuelewa swali langu au unakopi majibu tu kutoka kwenye vyanzo vyako?
Ni wapi nimesema anawafukuza duniani kote
Ni wapi nimesema anawaua?
Hapo panasema atawaacha waislam tu, sasa huoni kwamba anawafukuza wote wasio waislam? Jaribu kutumia uelewa wako ndo utajibu sambamba...
" لأُخْرِجَنَّ الْيَهُودَ وَالنَّصَارَى مِنْ جَزِيرَةِ الْعَرَبِ حَتَّى لاَ أَدَعَ إِلاَّ مُسْلِمًا " .
Jamaa yangu we umejitahidi kutafsiri kistaarabu.
Hebu soma tena hiki kiarabu then eleza tena maana sijakuelewa maelezo yako,
Muhammad anafukuza wote wasio waislam na kuwaacha waislam pekee.
Unaposema nilete Hadith hapa maana yake we huna kitabu usome huko?
Hadith zenu zote ni dhaifu SEMA mnatafuta zile nzuri nzuri mnazifanya sahihi na zile mbaya zinakuwa dhaifu.
Soma hiyo sahih Muslim 1767a uone mtume wako anapanga kuwafukuza wasio waislam....jambo la kikatili sana hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.