Recent content by Clever505

  1. Clever505

    JamiiForums Tanzania Japo Tanzania na Zanzibar ni Nchi Moja, Lakini Kwenye Utoaji wa Haki, Zanzibar Wametupiga Bao!, Wameanza Mchakato wa Kuelekea Kwenye Smart Justice

    We mzee kwa umri huo bado unasema Tanzania na Zanzibar? Hujui kwamba ni Tanganyika? Akili umepeleka wapi
  2. Clever505

    JamiiForums Tanzania Tupate historia leo katika soka! Ipi imekukosha zaidi?

    Mzeebaba, kuna kitu naomba unieleweshe...."mchezaji wa soka la kulipwa" hiyo huwa inamaana gani? Kwani kuna wengine wanacheza soka ambalo sio la kulipwa?
  3. Clever505

    JamiiForums Tanzania Unajiitaje msomi halafu unaamani biblia? Sidhani kama kuna Mwanasayansi aliiamini

    Kuna kitu ambacho huelewi hapo mkuu, Maana ya Yesu kufa kwa ajili ya dhambi zetu ni hii; Yesu alikuja duniani kutufundisha kuachana na dhambi, sasa kazi yake hii iliwafanya wasiomtaka kumsulubu na kumuua. Kwa hiyo kilichomfanya kufa ni ile kazi ya kutuondoa dhambini. Kilichosababisha kifo chake...
  4. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, mwanadamu anayo tena uhuru wa kuchagua (free will) au kila kitu kimepangwa?

    Kulingana na uislam hakuna free will, kila kitu Allah amepanga
  5. Clever505

    JamiiForums Tanzania Kwanini hadi sasa BAKWATA ipo kimya kuhusu tume ya kuchunguza kuondolewa kwa Sheikh Walid?

    Mwaipopo anafaa kuwa jela saahii
  6. Clever505

    JamiiForums Tanzania Usikute Wema na Whozu walinunua mtoto kwa mkataba wa mzazi kutojihusisha na chochote kuhusu mtoto.

    Utaamini kama watapata wa pili; vipi wakiamua kumpata kwa namna hiyo uliyosema ya kununua?
  7. Clever505

    JamiiForums Tanzania Unamkana Allah, lakini unajiita Mwana Adam?

    Bible pia inafundisha mtu wa kwanza ni Adam na aliyemuumba ni Yehova. Kwa hiyo kuwa mwana Adam sio lazima kumkubali shetani Allah.
  8. Clever505

    JamiiForums Tanzania BAKWATA mpeni adhabu ya kisharia shakh Walid Kawambwa hii itamsafisha na huu uchafu.

    Kwani hiyo Sheria yenu inasema hadi iwe Dola ya kiislam ndo itekelezwe?
  9. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, MUNGU ni mwizi?

    Sasa mzee hapo si ni sawa mi nachukua kitu chako kisha natengeneza kitu ambacho pia kitakuwa chako. Sasa wizi uko wapi hapo
  10. Clever505

    JamiiForums Tanzania Ipi ni nyimbo yako Bora ya muda wote?

    Sio nyimbo, wimbo
  11. Clever505

    JamiiForums Tanzania Wafungaji Bora wa Kombe la Dunia 2026

    Ronaldo number 7
  12. Clever505

    JamiiForums Tanzania Najuta kutembea na wallet! Sitorudia kuweka pesa kwa wallet kamwe!

    Msiisingizie wallet wazee, mi tangu nimeanza kupata pesa zangu mwenyewe huwa natumia wallet na haijawahi kunipa hasara yoyote, hao Wanao ndo miyeyusho tu
  13. Clever505

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Yanga ifanye mabadiliko haya...

    Napendaga nyuzi kama hizi ziwe zinawekwa before match
  14. Clever505

    JamiiForums Tanzania Vipi kama TEC na CHADEMA wangefanikiwa kuvuruga uchaguzi Ile Oktoba 29?

    Maccm mapumbavu kweli, yaani unaamini ccm inapendwa na wananchi then chadema haipendwi!? Kubababako
Back
Top Bottom