Msiisingizie wallet wazee, mi tangu nimeanza kupata pesa zangu mwenyewe huwa natumia wallet na haijawahi kunipa hasara yoyote, hao Wanao ndo miyeyusho tu
Usiongee vitu ambavyo hujui mzee, halafu mi sijawasema vibaya mi nimeongea ukweli. Sasa kama kuongea ukweli ndo kusema vibaya sawa.
Mi kukodi nyumba yao unaona kama wamenifanyia wema! Sikai Bure mkuu, umeme unaosema natumia bure, ni unaongea tu kujifurahisha. Pesa ya umeme ninayotoa kwa mwezi...
Hiyo habari ipo hata mitandaoni mkuu, sasa kwa sababu unawatetea utatafuta tu namna nyingine ya kuwatetea.
Angalia kwa urefu zaidi insta, search saidtza_ayotvznz
Mzee, wazenji wasikie tu,...endelea kuwapamba vile utakavyo, tuliopo huku ndo tunajua uhalisia
Kanisa la pentekoste Kwahani limevunjwa mkuu, we uko wapi huna hii habari?
Tulioko huku tunaona hayo mambo mkuu, eti hapa unasema tunapiga kelele na maspika then wanavumilia! Nakuangalia tu vile hujui mambo ya huku.
Sheikh wa zenji alisema mlevi wa Zanzibar ni Bora kuliko sheikh wa bara. Huuoni...
Hujasikia juzi tu hapa kanisa limevunjwa? Sisi ndo tunaishi mitaani tunaona vile wanavyotuchukia kwa udini na utanganyika wetu.
Mi najua we unawapenda kwa sababu ni watu wa dini yako ila mkuu nakwambia ukweli, hata wewe ungeishi huku usingekuja kuandika haya uliyoandika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.