Recent content by Clever505

  1. Clever505

    JamiiForums Tanzania BAKWATA mpeni adhabu ya kisharia shakh Walid Kawambwa hii itamsafisha na huu uchafu.

    Kwani hiyo Sheria yenu inasema hadi iwe Dola ya kiislam ndo itekelezwe?
  2. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, MUNGU ni mwizi?

    Sasa mzee hapo si ni sawa mi nachukua kitu chako kisha natengeneza kitu ambacho pia kitakuwa chako. Sasa wizi uko wapi hapo
  3. Clever505

    JamiiForums Tanzania Ipi ni nyimbo yako Bora ya muda wote?

    Sio nyimbo, wimbo
  4. Clever505

    JamiiForums Tanzania Wafungaji Bora wa Kombe la Dunia 2026

    Ronaldo number 7
  5. Clever505

    JamiiForums Tanzania Najuta kutembea na wallet! Sitorudia kuweka pesa kwa wallet kamwe!

    Msiisingizie wallet wazee, mi tangu nimeanza kupata pesa zangu mwenyewe huwa natumia wallet na haijawahi kunipa hasara yoyote, hao Wanao ndo miyeyusho tu
  6. Clever505

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Yanga ifanye mabadiliko haya...

    Napendaga nyuzi kama hizi ziwe zinawekwa before match
  7. Clever505

    JamiiForums Tanzania Vipi kama TEC na CHADEMA wangefanikiwa kuvuruga uchaguzi Ile Oktoba 29?

    Maccm mapumbavu kweli, yaani unaamini ccm inapendwa na wananchi then chadema haipendwi!? Kubababako
  8. Clever505

    JamiiForums Tanzania Moja ya makosa utafanya ni kuolewa na Mwanaume wa miaka 50+. Walioingia huko wengi wanalia

    Andika hivi, Huwazuia wake zao hawa wadogo kufanya kazi
  9. Clever505

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar ni watu wema sana, Uislamu wao umewafanya wawe hivyo

    Kweli mkuu, huyu jamaa uandishi wake unamuonyesha ana uwezo mdogo sana wa kifikra
  10. Clever505

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar ni watu wema sana, Uislamu wao umewafanya wawe hivyo

    😂😂We jamaa sijui kama una akili zinazotosha kujadili mambo ya maana. Endelea kujibizana na wengine naona huna point za msingi
  11. Clever505

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar ni watu wema sana, Uislamu wao umewafanya wawe hivyo

    Mi naongea Hali halisi we unaleta habari za pengine! Hebu kaa na huo ujinga wako.
  12. Clever505

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar ni watu wema sana, Uislamu wao umewafanya wawe hivyo

    Usiongee vitu ambavyo hujui mzee, halafu mi sijawasema vibaya mi nimeongea ukweli. Sasa kama kuongea ukweli ndo kusema vibaya sawa. Mi kukodi nyumba yao unaona kama wamenifanyia wema! Sikai Bure mkuu, umeme unaosema natumia bure, ni unaongea tu kujifurahisha. Pesa ya umeme ninayotoa kwa mwezi...
  13. Clever505

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar ni watu wema sana, Uislamu wao umewafanya wawe hivyo

    Hiyo habari ipo hata mitandaoni mkuu, sasa kwa sababu unawatetea utatafuta tu namna nyingine ya kuwatetea. Angalia kwa urefu zaidi insta, search saidtza_ayotvznz Mzee, wazenji wasikie tu,...endelea kuwapamba vile utakavyo, tuliopo huku ndo tunajua uhalisia
  14. Clever505

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar ni watu wema sana, Uislamu wao umewafanya wawe hivyo

    Kanisa la pentekoste Kwahani limevunjwa mkuu, we uko wapi huna hii habari? Tulioko huku tunaona hayo mambo mkuu, eti hapa unasema tunapiga kelele na maspika then wanavumilia! Nakuangalia tu vile hujui mambo ya huku. Sheikh wa zenji alisema mlevi wa Zanzibar ni Bora kuliko sheikh wa bara. Huuoni...
  15. Clever505

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar ni watu wema sana, Uislamu wao umewafanya wawe hivyo

    Hujasikia juzi tu hapa kanisa limevunjwa? Sisi ndo tunaishi mitaani tunaona vile wanavyotuchukia kwa udini na utanganyika wetu. Mi najua we unawapenda kwa sababu ni watu wa dini yako ila mkuu nakwambia ukweli, hata wewe ungeishi huku usingekuja kuandika haya uliyoandika.
Back
Top Bottom