Mzeebaba, kuna kitu naomba unieleweshe...."mchezaji wa soka la kulipwa" hiyo huwa inamaana gani? Kwani kuna wengine wanacheza soka ambalo sio la kulipwa?
Kuna kitu ambacho huelewi hapo mkuu,
Maana ya Yesu kufa kwa ajili ya dhambi zetu ni hii;
Yesu alikuja duniani kutufundisha kuachana na dhambi, sasa kazi yake hii iliwafanya wasiomtaka kumsulubu na kumuua. Kwa hiyo kilichomfanya kufa ni ile kazi ya kutuondoa dhambini. Kilichosababisha kifo chake...
Msiisingizie wallet wazee, mi tangu nimeanza kupata pesa zangu mwenyewe huwa natumia wallet na haijawahi kunipa hasara yoyote, hao Wanao ndo miyeyusho tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.