Nimekwambia uislam ni ujinga, sasa hao watu ni wa nini mkuu ikiwa wameamua kuwa wajinga! Huwezi kumpangia mtu cha kuamini ndio maana nimesema hata mama yangu akiamua kuwa muislam ni kwamba ameamua kuwa mjinga.
Sasa kutaja majina haitakuwa na maana yoyote ya msingi.
Kiufupi, yeyote anayechagua...
Mzeebaba mi nipo Zenji, mara kwa mara kila mahali nikitembea nakuta watu wanaongea kigogo, we kama upo Dom lazima wawe wengi hapo ndo nyumbani....dako dyako agwe mkombi.
😃😃Mi mtoa mada anisamehe kabisa, maana wakati nasubiri mada ifunguke nilikuwa natoa matusi si ya kawaida kimyakimya. Baadae maelezo yakaenda upande wangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.