Recent content by Clever505

  1. Clever505

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwanamke kutokwa na damu kwa miaka 12 kinaleta mkanganyiko, sometimes bibilia inatakiwa iwe specific bhana!

    Mkanganyiko ni upi mkuu hapo? Ingekuwa sehemu nyingine wanasema alitokwa na damu mguuni, pengine wanasema kichwani, hapo ingekuwa mkanganyiko. Mkanganyiko upi unazungumzia mkuu.
  2. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    We eleza tu inawezekana kuna mwingine ataelewa, faida ni kwa wote sio mimi tu.
  3. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Dini inabidi kujifunza kistaarabu kwa sababu haya mambo wote tumeyakuta tu wala hatuna uhakika na ushahidi wa kujionea kwa macho yetu wenyewe.
  4. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Kitakuwa kigumu hadi utakaponieleza alimaanisha nini aliposema "hadi wabaki waislam tu"
  5. Clever505

    JamiiForums Tanzania Leo ngoja niwazungumzie hawa watu

    Kwa sababu kule tuliishia hivo unasema nimeweka maneno yangu kwenye Hadith wakati mi sijatia hata neno hata moja langu. Ila wewe neno kuwafukuza wote na kuwaacha waislam pekee hujataka kutolea ufafanuzi. Unaishia tu kusema hakuwafukuza wote, "Hadi wabaki waislam tu" hapo ndo unaporuka
  6. Clever505

    JamiiForums Tanzania Leo ngoja niwazungumzie hawa watu

    We jamaa umekuja kunisema huku sio😂😂 Umeikimbia ile mada yako nyingine umeanzisha hii. Nakupa tena na hii, Sahihi Muslim 2167a Kaangalie tena hiyo uone mafundisho ya Muhammad yalivyo ya kikatili. Hapo eti hataki waislam mkikutana na wakristo muwasalimie, Kisha anasema lazimisha huyo mkristo...
  7. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Halafu yapo mafundisho mengi tu ya mtume wenu ambayo ukiyafata tu lazima uonekane mtu mwenye misimamo mikali. Ukiachana na hilo la kuwafukuza wasio waislam, lingine hili: Tetea tena. Hapa anatoa marufuku kabisa ukikutana na mkristo au myahudi usimpe salamu hadi yeye aanze. Kisha unapokutana nao...
  8. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Mzee, mi sijaongeza neno lolote nje na Hadith. Nimekuuliza hujibu, Hujaona ambapo anasema hadi wabaki waislam peke yao? Kuwabakisha waislam peke yao ndo kuwaondoa wote wasio waislam. Nini kigumu kuelewa hapo?
  9. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Ok twende polepole mkuu Kwenye hiyo Hadith mtume wenu anaahidi kuwafukuza wasio waislam, We unatetea kusema hawafukuzi wote, je; umeona ambapo panasema "hadi wabaki waislam tu" au hilo hujaona? Tuanzie hapo kwanza, tujifunze kwa upendo tu bila marumbano.
  10. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Mi pia namuona hapa anajaribu kwenda nje na mada ili Muhammad asionekane katili kuwafukuza wasio waislam.
  11. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    We jamaa unanijibu kwa kuelewa swali langu au unakopi majibu tu kutoka kwenye vyanzo vyako? Ni wapi nimesema anawafukuza duniani kote Ni wapi nimesema anawaua? Hapo panasema atawaacha waislam tu, sasa huoni kwamba anawafukuza wote wasio waislam? Jaribu kutumia uelewa wako ndo utajibu sambamba...
  12. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    "‏ لأُخْرِجَنَّ الْيَهُودَ وَالنَّصَارَى مِنْ جَزِيرَةِ الْعَرَبِ حَتَّى لاَ أَدَعَ إِلاَّ مُسْلِمًا ‏"‏ ‏.‏ Jamaa yangu we umejitahidi kutafsiri kistaarabu. Hebu soma tena hiki kiarabu then eleza tena maana sijakuelewa maelezo yako, Muhammad anafukuza wote wasio waislam na kuwaacha waislam pekee.
  13. Clever505

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Umeandika vitu vya maana sana mkuu,
  14. Clever505

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Unaposema nilete Hadith hapa maana yake we huna kitabu usome huko? Hadith zenu zote ni dhaifu SEMA mnatafuta zile nzuri nzuri mnazifanya sahihi na zile mbaya zinakuwa dhaifu. Soma hiyo sahih Muslim 1767a uone mtume wako anapanga kuwafukuza wasio waislam....jambo la kikatili sana hilo
Back
Top Bottom