Recent content by CLES B

  1. CLES B

    Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

    kuna mtandao unaitwa 'Every Japan' , huwa wanakuwa na gari chache lakini nyingi ni nzuri na mara nyingi wanaweka kwenye platform yao gari ambazo zinatembea na zina hari nzuri, ila bei zao ziko juu kidogo lakini unapata kilichobora.
  2. CLES B

    Choo cha kulipia Tegeta sokoni kimeniharibia siku

    Ongezea hapo stend mpya tena ya juzjuzi ya Mwanza - Nyamhongolo, ni kinyaa.
  3. CLES B

    Vivuko vya Azam pale feri Dar es salaam kuna dalili za Ufisadi

    Nahangaika na mbeba boga Fala wa kukurupuka, mi naongelea kivuko cha busisi Kigongo Mwanza na pale daraja linalojengwa ni Daraja la Magufuli liko Mwanza. wewe uko kurasini,ndo nikasema kuna uhuni wa uliopindukia kuliko hata hapo Kigamboni, watu wanahangaika kuhonga mgambo wa Suma JKT...
  4. CLES B

    Vivuko vya Azam pale feri Dar es salaam kuna dalili za Ufisadi

    Daraja halijakamilika, bado lipo kwenye ujenzi na hayo malipo uliyasikia wapi au unatumia hisia zako tu kuleta maneno ya jeuri wakati watu wanateseka .Maamae kabisa
  5. CLES B

    Vivuko vya Azam pale feri Dar es salaam kuna dalili za Ufisadi

    Kabisa, watu wanahonga sana pale ili aweze kupata nafasi ya kuvusha gari, kusubiri kwenye foleni zaidi ya masaa 8 ni kitu cha kawaida sana kama una Kigari chako.
  6. CLES B

    Simba SC Tanzania yamtambulisha kocha mpya Robertinho

    Umeona eehe, wanakuja kuuwa vipaji vya wazawa na kujichotea mihela ya wajinga
  7. CLES B

    Vivuko vya Azam pale feri Dar es salaam kuna dalili za Ufisadi

    Karibu pia Mwanza ujionee, kivuko cha Busisi Kigongo, ni heri hayo ya Musa, huku kuna firauni.
  8. CLES B

    Nawaza sana, John Bocco anachezeshwa Simba na kuitwa Taifa stars kwa kiwango kipi?

    Yaani hakuna mtu aliyeinyima simba ushindi mwingi kama Mugalu,halafu akawa kipenzi cha Pablo,Pablo ,Motorola na benchi love la ufundi wapishe,scouting team yote ifumuliwe
  9. CLES B

    Geita: Mke wa mfanyakazi wa GGM anyongwa

    kweli wewe ni chizi com
  10. CLES B

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Kwema mkuu,kama utaweza nitumie picha za rear differeantial uliyopo nayo kwa namba whatsap 0767111675,pia uko wapi?maana mie niko Geita.
  11. CLES B

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Mkuu nahitaji complete rear differential ya Pajero io (4G93) pamoja na Cross member Kwa miguu ya mbele,nipe bei
  12. CLES B

    Dawa ya aleji

    Seriuos still? sikuwa hewani kwa siku,pole,waeendeleaje?
  13. CLES B

    Dawa ya aleji

    yes ,zinapatikana.
Back
Top Bottom