Recent content by clemence mtei

  1. clemence mtei

    DOKEZO Uovu ofisi ya utumishi Kisarawe; Afisa utumishi anahudumia watumishi kwa malipo

    Ofisi ya Afisa Utumishi Wilaya ya Kisarawe kuna Afisa utumishi anatoa huduma ya uafisa utumishi wake kwa malipo iwe unaomba akupitishie maombi ya mkopo, iwe unataka ufanyiwe recategoristion kwa yeye kuupload doc zako kwenye mfumo kama vyeti ni malipo, iwe ni mkopo wa hazina unaotolewa kwa...
  2. clemence mtei

    Serikali Kusaini Sheria ya Kima cha Chini cha Mishahara Sekta Binafsi

    Sure,leo nmeenda kkoo na 100k nimenunua kufuli za wife na wanangu nikarudi pesa haina tena dhamani
  3. clemence mtei

    Tiba ya harufu mbaya ya kinywa

    Naomba msaada nimetumia dawa na hospitali zote kupata suluhu ya harufu mbaya ya kinywa. Naswaki vizuri ulimi, meno na kwa dawa mpaka za 50k. Nimetumia karafuu, tangawizi na aina nyingine za madawa ya dukani na asili ila changamoto ipo pale pale nikiongea na mtu anakimbilia kushika pua na...
  4. clemence mtei

    Whatsapp haifanyi kazi mda huu

    Mie mesg inaingia hapa nnavoandka mesg ss hyo vp
  5. clemence mtei

    Hubert Kairuki Memorial University Special Thread

    Vp bado kinapokea wanafunz wa diploma
  6. clemence mtei

    Hubert Kairuki Memorial University Special Thread

    Hchi chuo kipo wap nna mdogo wangu anataka kusoma duploma ya clinical au pharmacy
  7. clemence mtei

    Natafuta chuo kinachotoa diploma za clinical medicine na pharmacy kilichopo Kigamboni

    Naomba kujulishwa kwa anaefahamu chuo kinachotoa diploma za clinical medicine na pharmacy kipo kigamboni anijulishe na bado kinapokea wanafunzi! Asante
  8. clemence mtei

    Ndugu yangu hajapata chuo hadi sasa, inawezakana kutafuta chuo cha diploma?

    Hakuna chuo cha dip ambacho anaweza kuapply kwa hchi kipnd
  9. clemence mtei

    Ndugu yangu hajapata chuo hadi sasa, inawezakana kutafuta chuo cha diploma?

    Nina ndgu yangu kamaliza form six kapata div point 13 kafanya application mara mbili awamu zote katka vyuo vyote jina lake halijatoka. This tym kafanya application only katika chuo kimoja kwa mara katka vle vyuo alivoomba! Msaada tafadhali cha kufanya sababu dalili zinakaa ni asilimia chache...
  10. clemence mtei

    Nahitaji laptop

    Aseee thank you so much!
  11. clemence mtei

    Nahitaji laptop

    Akili zako za o level bado unaandka X to mean S!sijakwambia nasoma masters nmekuonesha tuu sio kwamba kila anaenda shule ni katoka form six na anakwenda kusoma degree!Kumbe hzo nlizotaja hapo juu ni specification za brain yako!
  12. clemence mtei

    Nahitaji laptop

    Fyn brah!
Back
Top Bottom