Whatsapp haifanyi kazi mda huu

Whatsapp haifanyi kazi mda huu

Daaaah nmesumbuka Ku restart balaa
[emoji23][emoji23][emoji23] yan nimecheka nilovyokua nahaha kurestart and reboot sim yangu had nimeiuninstall halaf nikitaka kudownload inanambia not optimised wih your device nikaona hee haya mapya nikajaribu kudownload gbwhatsapp nako inagoma
 
nimesha wataarifu
wamerudisha
sasa hivi msihofu #
$.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yan nimecheka nilovyokua nahaha kurestart and reboot sim yangu had nimeiuninstall halaf nikitaka kudownload inanambia not optimised wih your device nikaona hee haya mapya nikajaribu kudownload gbwhatsapp nako inagoma
Pole Madam, sasa hiyo GB ishakubali??
Hapo kama vipi sakizia namba ingine unakua na Whatsapp mbili pamoja
 
Pole Madam, sasa hiyo GB ishakubali??
Hapo kama vipi sakizia namba ingine unakua na Whatsapp mbili pamoja
poreni sana
ndivyo mambo ya mtandao
yalivyo
teh teh teh
ila kwa upande mwingine inachekesha teh teh teh ****
 
Asante Shark
Pole Madam, sasa hiyo GB ishakubali??
Hapo kama vipi sakizia namba ingine unakua na Whatsapp mbili pamoja
Hii haijakubali inanambia WhatsApp temporary unavailable ndio nipo leo situmii wasap tena
 
Utakuwa unatumia simu yenye uwezo mdogo sana mbona mm ipo sawa tu.
 
Back
Top Bottom