mimi mwenyewe hapa ninasoma uzi huu saa sita kasoro kumi, bado nipo golini mpaka nifike ghetto saa nane halaf kuamka kumi na mbili kasoro naona hiyo kulala kwa masaa nane ni watoto na wagonjwa
diplomacy kitu gani sisi wanyonge tunataka ma-sgr ,fly over, Kama Uhuru ana kinyongo kimpango wake wamejipendekeza wametuletea madini yetu halaf kama kawa Jpm kamkazia
Mkuu brazaj majirani wivu tu unawasumbua,si unajua tupo uchumi wa kati,hao wanatuonea gere hawajaja lakin mzee wetu tumempumzisha kwa amani nyumba yake ya milele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.