Matajiri hawalali masaa nane kwa siku

Matajiri hawalali masaa nane kwa siku

Wasio lala masaa nane mbona wengi tu!!!!;Mama ntilie,Wale wa machinjio,Wauza nyama mabuchani,Walinzi,Wanafunzi,n.k.
 
Tajiri huwa haridhiki na mali zake siku zote hufanya kazi kwa bidii hata Kama akifikia peak na kuajiri wafanyakazi atakuwa tayari amezoea maisha ya kuamka mapema..

Hawezi sema ngoja ni rest anahakikisha anasimamia mambo yote
Kuto kuridhika sikweli bali anakuwa na passion tu ya kitu.
 
Kwa tuliopatia utajiri ngende tunalala vizuri tu,shida ni masharti tu kama kutokula choroko,njugu nk.
Usisahau pia kokote utakapokua endapo utataka kukata gogo lazima ukalatie kwny ka pori na sio kwny vyoo vya ndani ya nyumba,sijui ukiwa pale posta gogo unaenda kulikatia kwny pori gani aisee.
 
mimi mwenyewe hapa ninasoma uzi huu saa sita kasoro kumi, bado nipo golini mpaka nifike ghetto saa nane halaf kuamka kumi na mbili kasoro naona hiyo kulala kwa masaa nane ni watoto na wagonjwa
 
Usisahau pia kokote utakapokua endapo utataka kukata gogo lazima ukalatie kwny ka pori na sio kwny vyoo vya ndani ya nyumba,sijui ukiwa pale posta gogo unaenda kulikatia kwny pori gani aisee.
Gymkana, Salender Bridge.
 
mimi mwenyewe hapa ninasoma uzi huu saa sita kasoro kumi, bado nipo golini mpaka nifike ghetto saa nane halaf kuamka kumi na mbili kasoro naona hiyo kulala kwa masaa nane ni watoto na wagonjwa
Wewe mwenyewe nani tajiri au ??
 
Tunalala Sana hasa madili yakitiki! Na sio kuwa hatutumii simu Ila tunatumia kuenjoy na kutafuta fursa pia pesa tunatumia Sana Ila in burget!
 
Huo ni uongo hakuna kitu kama icho....usilete maneno ya vijiweni hapa mkuu.
Hata Bakhresa hata Bill Gates hata nini wote wanakua na hofu hata uajiri wafanyakazi millioni hawalali kwasababu wanahakikisha kazi zinaenda ipasavyo
 
Mkoje mtusaidie kwasababu hawa wahamasishaji wa mtandaoni wanatukera
Jiajiri uwe mjasiliamali utaelewa maana ya kulala late na kuamka early. Hayo maajira siku yakiisha mtajua maana ya motivation speech
 
Back
Top Bottom