Recent content by Clarity_

  1. Clarity_

    Ukiona mfanyakazi anamiliki vitu havilingani na mshahara wake hiyo ni Red flag

    😄😄😄Yaani wewe ukiwa ni boss sehemu fulani utateseka sana Kwa mentality yako ya namna hii. Fungua ubongo vizuri mzee.
  2. Clarity_

    Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

    Mm niligonga hii nikaumwa mgongo wiki nzima,yaan maumivu kama nimepigwa na rungu mgongoni,sijawahi rudia.🤣🤣🤣
  3. Clarity_

    Naweza kupata spray ya kuondoa mikwaruzo kwenye gari?

    Baada ya kufanikiwa kwenye mikwaruzo kwa kutumia jivu na sabuni.....nataka Leo nikafanye window shopping ya spray na polish....sasa ombi langu ni :-naomba Bei elekezi ya spray na polish nisije nikapigwa.....sijawahi nunua kabla,so naomba abcds za Bei ili nikifika nicompare.Pia naomba na aina...
  4. Clarity_

    Naweza kupata spray ya kuondoa mikwaruzo kwenye gari?

    Hyo ya kwanza juu ni baada ya kutumia jivu na sabuni,ya pili chini ni kabla
  5. Clarity_

    Naweza kupata spray ya kuondoa mikwaruzo kwenye gari?

    Bado sijapata ile polish,Kwa sasa nmetumia mbinu hyo ya majibu na povu la sabuni,na kwakweli niseme ahsante sana sana coz kuna mikwaruzo ambayo ilikuwa ya kawaida imefutika...na Kuna Baadhi ambayo imebaki ambayo hapa itabidi nispray kidogo.Ila all in all ahsante sana,hyo Mbinu ya jivu na sabuni...
  6. Clarity_

    Naweza kupata spray ya kuondoa mikwaruzo kwenye gari?

    Bado sijapata ile polish,Kwa sasa nmetumia mbinu hyo ya majibu na povu la sabuni,na kwakweli niseme ahsante sana sana coz kuna mikwaruzo ambayo ilikuwa ya kawaida imefutika...na Kuna Baadhi ambayo imebaki ambayo hapa itabidi nispray kidogo.Ila all in all ahsante sana,hyo Mbinu ya jivu na sabuni...
  7. Clarity_

    Naweza kupata spray ya kuondoa mikwaruzo kwenye gari?

    Ukishasugua then unaosha na maji ?au
  8. Clarity_

    Naweza kupata spray ya kuondoa mikwaruzo kwenye gari?

    Ngoja nijaribu polish nione coz nahisi ya kwangu sio mikubwa kihiivyo....nimeambatanisha picha hapo uone....unishauri kitu Aisee naenda kuifanya hii sasa hv nami nione kama ni kweli ama laaa....ntakuja na mrejesho hapahapa.
  9. Clarity_

    Naweza kupata spray ya kuondoa mikwaruzo kwenye gari?

    Mm mkwaruzo wangu niliupata baada ya kusugua bodi kwenye mti,yaan kanjia kalikuwa kadogo so nilibana zaidi kwenye upande wa mti so ikakwaruza kidogo ubavuni....ila mikwaruzo hii haionekani Ukiwa Kwa mbali kiasi hadi uisogelee gari kabisa ndo unaiona. Mikwaruzo mingine Iko kwenye bumper la...
  10. Clarity_

    Signs You are Born to be a Leader, According to Psychology

    "These less intelligent fellas have no inner power and they resort to seeking attention in order to compensate their sense of insecurity." Huu ni ukweli mtupu.
  11. Clarity_

    Mji wa Dar es Salaam ni mishe mishe

    Huwezi kuniambia chochote kuhusu Dar ,hao wanaoishi mikoa mingine huko wao waendelee tu kuishi.
  12. Clarity_

    Hivi kwanini wanasheria huwa wanaitana wakili msomi

    Mbwembwe tu....hakuna sababu peculiar sana....zaidi zaidi ni kama wanajiBrand flan hv wanapojiita wakili msomi.....wanaamini thamani Yao inapanda na confidence pia inaongezeka ukiitwa wakili msomi😄😄🤣
Back
Top Bottom