guyz ni hv interview ya kwanza ni mtihan wa hesabu ambao unuliza maswal ya logic tu sio magumu,thn group interview na nyngne ni kuingia mtaan kutambulisha benk thn oral msiogope mshrikishen Mungu tu coz watu ni weng sana,n mjitahd kusoma job description zenu...best of lucky kwa wote mliochaguliwa
Habari wapenda
mimi ni msichana nmemaliza chuo mwaka 2011 nna degreee ya PUBLIC RELATIONS AND MARKETING
nmetafuta sana kazi bila mafanikio, kwa yeyote anaeweza kunisaidia ntashukuru sana..
ila npo tayari kufanya kazi yoyote inayoelkeana na course nliyosomea
here is ma email...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.