Recent content by claritamimi

  1. C

    Kama wewe ni graduate soma hii

    am ready ni wazo zuri sana
  2. C

    msaada maswali ya interview ya field officer ya accessbank!

    guyz ni hv interview ya kwanza ni mtihan wa hesabu ambao unuliza maswal ya logic tu sio magumu,thn group interview na nyngne ni kuingia mtaan kutambulisha benk thn oral msiogope mshrikishen Mungu tu coz watu ni weng sana,n mjitahd kusoma job description zenu...best of lucky kwa wote mliochaguliwa
  3. C

    zoom@Tz NIMEWAKUBALI

    hongeraa sana,ni jambo la kumshukuru Mungu
  4. C

    Najaribu kuseti mtambo lakini umebuma

    ila wapo walikubali kusex na maboss na kaz wakakosa usikubali mwaya,just kp on pryng Mungu ni mwema atakujibu tu
  5. C

    Natafuta kazi

    thanx wapenda lakn hata hzo za kujitolea sipati i dn knw why na nmeomba sehem nyng....ila cjakata tamaaa bado naendelea kutumaa
  6. C

    Ajira za kumwaga light dream organizatiom

    ipo shinyanga sehem gan hyo NGO guyz
  7. C

    Natafuta kazi

    Habari wapenda mimi ni msichana nmemaliza chuo mwaka 2011 nna degreee ya PUBLIC RELATIONS AND MARKETING nmetafuta sana kazi bila mafanikio, kwa yeyote anaeweza kunisaidia ntashukuru sana.. ila npo tayari kufanya kazi yoyote inayoelkeana na course nliyosomea here is ma email...
  8. C

    hellow guyz

    mambo ni ajeeeeeeee!
  9. C

    hellow

    asanten jaman 4 ya worm welcom,,,,
  10. C

    hellow

    ni aje guyz
  11. C

    A long misunderstanding conversation

    hahahahaaaaaaaaaaaaa
  12. C

    unajisikiaje unapom'bamba dada ako?

    unabd tu uw mpole coz ha wewe huwa unashka ya wadada wa wengne
  13. C

    Kusafisha tumbo msaada

    jaman sa huo mronge unapatikanaje n ukoje,,nifafanulien plzzzzzzzzzzzzz
Back
Top Bottom