Ni Dar tu niliona kwa mara ya kwanza watu wanakula mpaka utumbo wa kuku ambao kijijini hata mbwa tukiona anakula tunampiga. Ila ndiyo hivyo umasikini wa kujitakia uliochangiwa na rushwa na ulafi wa CCM umetuleta hapa.
Mimi nipo nchi moja hivi kimasomo asikuambie mtu nimeona watu wa karibu sana wakidondoka. Maprofesa wangu watatu wamepukutika mmoja wawili waliopona wamekaa ICU siku 40 wametoka ukiwaangalia machozi yanatoka maana wakitembea wanapepesuka tu mpaka unasema ni bora wangefariki. COVID 19 haina...
Tatizo la kusoma Bibilia kama Novel za akina Marvel. Mkuu Bible ikisomwa na asiye na Imani ndivyo hutokea kashfa na dhihaka. Jigunze kuheshimu Imani za watu hiyo itakusaidia sana kuwa mtu wa Busara na kuona mazuri hata ya adui zako.
Hawa wachawi wa kupenda kodi wasitolea jasho wapo wengi. Kitakachofuatia wataanza kutunga visheria vya kula sahani moja na wakala na kampuni za simu. Ilasina shaka chochote kilichoundwa na binadamu kina weakness, tutakula nao sambamba hizo kodi za ujamaa sijui uzalendo wakaziongee kwenye vikao vyao.
Mimi niliachana cha mpenzi niliyemfahamu tokea tuna miaka mitano, na tukakua wote mpaka baada ya chuo tulipokuja kuachana in fact yeye ndiye aliniacha na ni story ndeeefu mno labda siku mmoja nitaiweka hapa wadau wajifunze.
Kuhusu mada kuzoea hali ilikuwa ngumu sana. Kuna wakati nilijiona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.