Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,865
- 89,796
Msijali,msimu ujao kombe mnachukua...hata ikibidi kuliiba lakini lazima mlipate🤣🤣🤣🤣🤣
Tuacheni jamani hali yetu taabani
Msijali,msimu ujao kombe mnachukua...hata ikibidi kuliiba lakini lazima mlipate🤣🤣🤣🤣🤣
Tuacheni jamani hali yetu taabani
Nimeskiaskia mmejitangazia ubingwa kwa sababu ya Sancho.Msijali,msimu ujao kombe mnachukua...hata ikibidi kuliiba lakini lazima mlipate
Sawa mkuu.Mapema sana kushukuru subiri kidogo hata mfike 10 years bro.
Binafsi mke wa kusali hivyo usiku wa manane, mcha Mungu sana, too innocent naona hatutaendana. Kweli kila mtu na ubavu wake.






loohhI am bro, I am a writer too.You are quite a story teller bro.
Aamyn aamyn bestyyyy yake.Mashallaah!Mungu awape kizazi chema na muwe nyote peponi!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Anataka mke wa kugombana nae always haahahah
Bestyyyy, ages are just number!Dah. Best wangu 2008 ndo ulikuwa F5?
Kumbe mdogo sana kwangu. 🤣🤣🤣
Congrats on having a good woman.
Huu uzi unafufuliwa sana mbona??😂😂😂😂😂😂
Mbona Uzi umefufuliwa?
Mimi na Khantwe tunangoja mualiko. Keep enjoying your marriage; no endurance ..InshallahAamyn aamyn bestyyyy yake.
Miongoni mwa dua Bora kabisa nlizozipata Leo.
We are still going, alhamdulillah!
We are about to celebrate our 7th year anniversary.
Huu uzi unafufuliwa sana mbona??
Jamani nawaambieni, huyu mke huyu sitomuacha vyovyote iwavyo. Hahahaahahah
Ukiipatia tamu na ukiikosea utajutaWaambie ndoa tramuuuu
Khantwe twende tukakwee pipa jamani uwiiiii. Atasema hela ya accomodation tupe tu cashIn capital letters "NO ENDURANCE "
nyinyi tu nawakaribisha, I am working into taking her to Bahamas for the anniversary, ntawadhamini accommodation. Ticket juu yenu.
What do you say best??




Hahaahahahahahahahahaahahahaha!