Banza Stone: Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewee

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,122
7,707
Miongoni mwa nyimbo za Marehemu Banza Stone alizo imba miaka ya 2000s kipindi cha awamu ya 3 Hayati B.Mkapa. Wimbo huo ktk kipindi hicho ulihamasisha sana wananchi kujitegemea kwa kujiletea maendeleo yao wao wenyewe.

Ulihimiza kuwa japo ss ni masikini lkn tunawajibu wa kunajenga nchi yetu sisi wenyewe kwa kufanya kazi kwa bidii na maarifa lkn pia kwa kulipa kodi, hakuna atakaye kuja kutujengea nchi yetu isipokuwa ss wenyewe.

Wimbo huo pia unaweza kupeta hamasa katika awamu hii ya 6 ambapo tunapaswa kulipa kodi ya tozo ya simu, mafuta na hata luku.
Hakuna wa kutusaidia bali ni sisi wenyewe watanzania lazima tuumie ili tujipatie maendeleo.

Wahenga walisema;
No pain no gain.
Lazima tuumie ili tupate mambo mazuri, tusijibweteke tukawa tunafikiria kupewa misaada,
Leo nimekatwa tsh.1800 nimejisikia fahari kuchangia maendeleo yangu.

pata uhondo huo.

 
Miongoni mwa nyimbo za Marehemu Banza Stone alizo imba miaka ya 2000s kipindi cha awamu ya 3 Hayati B.Mkapa. Wimbo huo ktk kipindi hicho ulihamasisha sana wananchi kujitegemea kwa kujiletea maendeleo yao wao wenyewe.

Ulihimiza kuwa japo ss ni masikini lkn tunawajibu wa kunajenga nchi yetu sisi wenyewe kwa kufanya kazi kwa bidii na maarifa lkn pia kwa kulipa kodi, hakuna atakaye kuja kutujengea nchi yetu isipokuwa ss wenyewe.

Wimbo huo pia unaweza kupeta hamasa katika awamu hii ya 6 ambapo tunapaswa kulipa kodi ya tozo ya simu, mafuta na hata luku.
Hakuna wa kutusaidia bali ni sisi wenyewe watanzania lazima tuumie ili tujipatie maendeleo.

Wahenga walisema;
No pain no gain.
Lazima tuumie ili tupate mambo mazuri, tusijibweteke tukawa tunafikiria kupewa misaada,
Leo nimekatwa tsh.1800 nimejisikia fahari kuchangia maendeleo yangu.

pata uhondo huo.

Wale majambazi waliokua wakiteka mabasi na kuwanyanganya abiria mali zao miaka hiyo, walikua wakiwaimbia abiria wimbo huo huo! MTAJI WA MASKININI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE.
 
Lkn kumbukw pia Hayati Ben Mkapa alibana balaa, watu walifunga mikanda kisawasawa, na awamu yake ilifanikiwa sana ktk kuongeza mapato ya Serikali, Sasa awamu hii ya 6 ikilegea tu na kuyumbishwa na kundi la watu wachache watajuta, lazima wakaze, hii nchi usipo kaza kamba kamwe huwezi piga hatua yoyote. ifike wakati ziba masikio kanyaga twende.
 
sija paniki ila nimekutahadharisha tu, usije ukawaza kujiongeza halafu ukapotea.
usijaribu kujipima ubavu na Serikali..utaumia.
tulipe kodi, mwisho wa mwaka tutaihoji serikali juu ya matumizi ya kodi zetu.
Hakuna anayeshindana na serikali ni haki yao kuikosoa Rais pia anafahamu Hilo kwamba Katiba imetoa uhuru wa kutoa maoni sasa sio sahihi kuanza kutishia watu kisa wanauliza uhalali wa mambo yanayowagusa.
 
sija paniki ila nimekutahadharisha tu, usije ukawaza kujiongeza halafu ukapotea.
usijaribu kujipima ubavu na Serikali..utaumia.
tulipe kodi, mwisho wa mwaka tutaihoji serikali juu ya matumizi ya kodi zetu.
Unajua kuwa jiji la dar lilikusanya bilioni 27 kati ya hizo ni bilioni 3 tu ndio zilienda bank na bilioni 24 hazijulikani zilipo?
 
kumbe kuna watu walikuwa bado hawajazaliwa kipindi cha mwimbo huu?
 
We endelea kujenga taifa mimi nitajengasiku nyingine.
tujenge nchi yetu sasa. tusibweteke kwa misaada au mikopo tunayo pataka kutoka mataifa mengine.
Tafakari kwa mfano tu: hata wewe mwenyewe ikitokea unasaidiwa na mfadhali kukujengea nyumba yako ya kuishi ww na mke wako...mwanzo mwisho unadhani utakuwa huru na kujidai kama vile ungeijenga mwenyewe kwa fedha zako za kuungaunga?
basi hivi ndivyo ilivyo pia kwa nchi.
Nchi yetu itakuwa huru zaidi endapo sisi wananchi wake tutaijenga kwa kwa kulipa kodi.
Jamani Kodi ndio ndio maendeleo ya Taifa lolote lile, yusidanganyane, wala tusipige fitina kwa hili, lazima tuumie hakuna kodi laini.
 
Back
Top Bottom