Jinsi gani uliweza kuendelea baada ya kuachana na mpenzi uliyekuwa unampenda sana?

Habari wakuu.

Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.

Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii.

Nifanye nini wakuu?
Sema hujapata kukusahaulisha yaliyopita pia moyo wako tatizo ulijipa asilimia 100% na wakati huyo hakukupa asilimia 100 unatakiwa uwe mbali naye pia ufute namba zake iwe watsap etc upoteze kumbukumbu kabisa ya kumfikiria
 
Habari wakuu.

Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.

Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii.

Nifanye nini wakuu?
Aise ukitaka kuacha kitu anza.kitu
 
Mimi niliachana cha mpenzi niliyemfahamu tokea tuna miaka mitano, na tukakua wote mpaka baada ya chuo tulipokuja kuachana in fact yeye ndiye aliniacha na ni story ndeeefu mno labda siku mmoja nitaiweka hapa wadau wajifunze.

Kuhusu mada kuzoea hali ilikuwa ngumu sana. Kuna wakati nilijiona naenda kuingia kwenye depression ila ndani yangu kila nikiamka nilikuwa nasema kwa sauti I AM EXPENSIVE I WON'T FALL.

Nilianza kutumia muda wangu vyema kuwa na washkaji, kilimo cha kisasa, kujitoa shughuli za kijamii na kanisa, sala, mazoezi, mpira na kujisomea kwani ni mpenzi mkubwa wa vitabu. Ni muda ambao nilijitahidi kugundua vipaji ambavyo sikuwa navitambua ninavyo kama kuandika short stories, poems, songs etc. Yote hayo yalifungua milango ya kupata nafasi ya kusoma nje ya nchi maana niliweza kupata connection na watu wengi.

MUHIMU zaidi ambalo nawaza lingekuwa la kwanza ni KUJISAMEHE hata kama si mimi niliyeacha. Hii iliniepusha na kuwa mtu wa hasira na majuto.Baada ya hapo niliamua KUSAMEHE. Hii ilinisaidia kutokuweka kisasi ama kutaka kujua nilifeli wapi maana ni maswali yasiyo na majibu. Ni muda ambao nilijenga confidence ya ajabu na ilinichukua muda kufankiwa kuwa huru.
 
Mimi niliachana cha mpenzi niliyemfahamu tokea tuna miaka mitano, na tukakua wote mpaka baada ya chuo tulipokuja kuachana in fact yeye ndiye aliniacha na ni story ndeeefu mno labda siku mmoja nitaiweka hapa wadau wajifunze.
Hongera kwa kumove on bila shaka umepata replacement
 
Mimi niliachana cha mpenzi niliyemfahamu tokea tuna miaka mitano, na tukakua wote mpaka baada ya chuo tulipokuja kuachana in fact yeye ndiye aliniacha na ni story ndeeefu mno labda siku mmoja nitaiweka hapa wadau wajifunze.
Ok ahsante kwa kushare mkuu, namimi ntajitahidi😘
 
Sema hujapata kukusahaulisha yaliyopita pia moyo wako tatizo ulijipa asilimia 100% na wakati huyo hakukupa asilimia 100 unatakiwa uwe mbali naye pia ufute namba zake iwe watsap etc upoteze kumbukumbu kabisa ya kumfikiria
Ahsante nimejitahidi kufuta kila kitu chake hope itanisaidia
 
Habari wakuu.

Hivi mliwezaje kumove on, mimi nashindwa kabisa kumsahau huyu EX mpenzi niliyetokea kumpenda sana ila kutokana na sababu kadhaa hatukuweza kuendelea na mahusiano, ni muda sasa umepita tangu alivoniacha ila bado namfikiria sana na nilijipa muda huenda angeweza kurudi ila ndiyo kwanza yeye alishaendelea na maisha mengine huko.

Sijawahi kufikiria kama mimi ninavyojionaga mgumu ningeweza kusumbuliwa na mahusiano hivi ila ndiyo hivo imetokea, najitahidi kujikeep busy ili nisipate mda wa kufikiria sana lakini haisaidii.

Nifanye nini wakuu?
Kupatwa kwa soulimeti. So sad!!!
 
Hello wakuu, napenda nitoe mrejesho wangu.

Kwanza nawashukuruni wote kwa comments zenu hakika zimenisaidia sana kuvuka kipindi kigumu, kwasasa nimeshamove on kabisa sina mpango na yule ex tena, pia nimejikeep busy kazini na masomo so niko busy na inanisaidia kutokua na mawazo hayo.

Nawashauri wengine wote kusema ya moyoni yanayowasibu ili wasaidike kuliko kukaa kimya mwenyewe.Tuendelee kusaidiana japo kwa mawazo tu ni nzuri, mbarikiwe wote😍
 
Back
Top Bottom