Fanya biashara ya uji wa ulezi tafuta mahospital yaliyo karibu na wewe maana kuna wagonjwa wengi wanatafuta watu wa kuwapikia uji na hawawapati ukiwa mazingira hayo utakuwa umewasaidia sana
Heslb
Maombi ya vyuo
Tin number
Examination results
Kujisajili na ajira portal (utumishi)
Kutengeneza post za kupost social media na logo (kama una ujuzi wa adobe angalau photoshop na illustrator)
Kwa leo hizo zitakutosha
Kila kitu kina utaratibu wake ata boss wako kazin una utaratibu wa kumfikia sio kumropokea kwenye makolido na hao ambao hawajapata fursa ya kufika uwanjani shida zao zinasikilizwa
Nenda UTT huu ni (mfuko wa serikali) kawekeze ila #zingatia umepata maelekezo ya kutosha kabla ya kuwekeza# anza kwenye website yao UTT amis tanzania au fika ofisin kwao sukari house dar es salaam pia unaweza wapigia namba zao zipo kwenye website utakuja nishukuru baadae...
Kwanza degree alisoma program gan
Kwenye ajira siku hizi hawaangalii vyuo naona wengi hasa watu wa masters wana angalia experience na ukiweza kujishusha utaishi nao vizuri
Kati ya UDSM na CBE na kushauri uende udsm kwa kuwa cbe kuna bureaucracy sana kutokana na udogo wa chuo
Watu wanamaliza...
Acha kuwatisha watu yaan hiyo ni sawa na ukisema kuwepo kwa calculator ni kuuwa soko la uhasibu design sio kuchora na kupangapanga tu picha ni taaluma. Mpaka ujifunze kwanza kama photoshop tu usifikiri utadownload canva na kuanza kupata dili za kutengeneza graphics
Na kwa bahati mbaya usefully...
Kijana changamkia FURSA. Jiongezee KIPATO kwa kushiriki kutangaza biashara mtandao (e-commerce)
Kwa maelezo zaidi bonyeza link ifuatayo na kujisahili (register)
https://www.kalynda-e-commerce.com/#/register/index?code=436554871052
Kijana changamkia FURSA. Jiongezee KIPATO kwa kushiriki kutangaza biashara mtandao (e-commerce)
Kwa maelezo zaidi bonyeza link ifuatayo na kujisahili (register)
https://www.kalynda-e-commerce.com/#/register/index?code=436554871052
https://www.kalynda-e-commerce.com/#/register/index?code=436554871052
Ni kweli kalynda ni njia salama jiunge nasi sasa uzuri wake unaweza anza kupata commission hata kabla ujaunganisha watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.