Mkuu Thanda jamaa anataka wanaopotoka kimaadili wawe wanarekebishwa pasipo kufukuzwa, sasa yeye mwenyewe aliyepotoka amejifukuza/amejivua uanachama mwenyewe si angewasubiri warekebishaji wa tabia mbovu waje wamrekebishe!
Mkuu, huyo Ben naona kawashika wenzake pabaya sasa kila mmoja anakuja kivyake kujitetea. Mimi naona Busara ni kwa watuhumiwa/wasaliti/masalia kukaa kimya na kila mmoja kutoa ushahidi wake au hayo malalamiko yake sehemu stahili na si hapa jukwaani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.