Hiyo hali ni ya kawaida sana, sisi wenyewe wakazi wa Mbeya muda huu hatupandi ndege,tunajua kinachoendelea . Maana wingu kubwa la mvua kwa huku mbeya linatega maeneo hayo ya milima songwe. Hilo linaeleweka baba.
Mtukufu raisi usiwe na wasiwasi na hawa vijana wa chadema hawaendi kuandamana hata kidogo, wanaenda kushika ukuta wa demokrasia ,hatujawaelewa tu , ni kwamba wanaenda kushika ukuta tu kwa kifupi.
Sasa wewe mtu kakukimbia kwenye shida, muda ambao ulikuwa unahitaji suppoti ya kutosha. Huyo hafai, lakini mambo ya mapenzi bwana wewe mwenyewe chukua hatua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.