Recent content by ciyou

  1. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najitahidi sana kucheka ila usiku ni majonzi

    Ukikua utaacha mkuu, ukiisha kwa mapenzi utaumia ishi na mtu kwa mazoea ....na kumridhia basi
  2. C

    JamiiForums Tanzania Sheria ya kupiga marufuku kueneza Ukristo Israel jela miaka 2

    Wataelewa tu ule upande wa pili ambao wakitajwa waisraili matako yanaanza kuwawasha
  3. C

    JamiiForums Tanzania Milioni moja(1,000,000) kama kifuta jasho kwa atayenifanikishia ajira hii.

    Mkuu hio kazi kwa kada yako unapata bila hata ya connection Wala usipoteze pesa yako bure
  4. C

    JamiiForums Tanzania Hii video kuhusu V8 ya Serikali inasikitisha sana

    Sisi wa tz tunajua kuongea tu mitandaoni ndo maana watu wanazidi kufanya wanavyotaka Angalia kule kwa wenzetu sjui bangalesh watu walijimilikisha ikulu
  5. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Mchungaji akamatwa baada ya Waumini Wanne kufa njaa katika Mfungo

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha tu wakoloni weusi watufanye wanavyotaka maana sio kwa akili hizi
  6. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nishaurini: Nina wasiwasi sana Mchepuko wangu anajiuza

    Kimbia mbio mkuu,,,, nilikua naambiwa hivyo hivyo kua yeye anashiriki tendo na mimi tu Mpaka siku nilioanza kuskia harufu huko chini baaada ya kupika peku Nikamlazimisha tupime kwa mbinde eeh bwna weeee nilichokiona kwenye vipimo nilitoka nduki lodge kukimbilia PEP Nashukuru mungu...
  7. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

    Hapa ndo unaona wanawake hamna kitu , nimecheat na wanawake tofaut wazur sna kushinda mke wangu kwa kila nyenzo ila sijawai kamwe kupoteza hisia na mke wangu Wanawake nyiny ni ovyo kabisa mkicheat mara moja ndo basi dishi limeyumba mazima
  8. C

    JamiiForums Tanzania Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    Naomba u share na mm hayo materials.....niyatupie macho kidg
  9. C

    JamiiForums Tanzania Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

    Mkuu ,ungeingia kwenye ponzi scheme ambayo inadumu mda mrefu na kupata team kubwa ungepiga commission za kibabe Yaani ungeweza ingiza hata 6m kwa siku ya commission tu watu wanatajirika vbaya sna ila ni wachache wale ambao walianza mapema
  10. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kosa langu ni kuamua kuishi maisha yangu

    Mimi ni sawa na wewe mkuu ,nimeamua kuishi maisha yangu , dunia yangu sitaki fitna za wana familia nimezichoka
  11. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wabaya sana

    Hahahaha pole sn, njoo kwangu nikupunguze. Stress
  12. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume ambaye wanawake wengi tunawapenda

    Na hela je?
  13. C

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Simu aina ya Note 9 Samsung inauzwa

    Mimi nina samsung A80 fliped camera haina crack bei 450000 tu
  14. C

    JamiiForums Tanzania SoC02 + Ilivyoangamiza ndoto zangu

    Tunaweza kua marafiki ukipenda tubadilishane mawazo
  15. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume ni wa ovyo sana

    Mwana kulitaka
Back
Top Bottom