Mada nzuri na yakizalendo kabisa lakini naomba tu niwakumbushe kwenye nchi zote zilizoendelea msingi mkubwa kabisa wa uchumi na maendeleo ni idara za intelligence kwenye nchi zao.
Ikumbukwe hawa ndyo washauri wakuu waserikali kwenye nyanja tofauti za kiuchumi, kijamii, namasula ya kiulinzi na...
Ushauri mzuri lakini si raisi hivyo wizara ya ulinzi ina bajeti ndogo mno pili hapa kwetu masuala ya ugaidi na uhalifu si mengi na kama yapo syo ya ukubwa huo hzo iron dome za israel zimewekwa kwa shinikizo maalumu kwa magumu waliyopitia mfano mfumo mzima wa ulinzi na usalama wa USA uliimarika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.