sio kweli amesema kama mjumbe wa kwanza alivyosema na je umewahi kusikia maneno aliyoyasema kanisani? au ndio exergration ya mambo? tuachane na siasa tujenge taifa letu tanzania
mtasema yote but hamuwezi kubadilisha kitu, unapoianza safari utatiwa moyo unapoonyesha mafanikio vikwAzo lazima viibuke, nani asiyewajua watanzania hawanaga zuri tofauti na nchi nyingine watanzania wengi wamejaa chuki, husda, unafiki na roho mbaya, hakuna mtu amelazimisha kuangalia kipindi...
mhhh mleta mada hiki ulichokiandika una uhakika nacho? mbona mimi nilisikiliza ule unabii ulitokana na mamlaka yq hali ya hewa kusema kutakuwa na mvua yenye maafa na yeye akajibu akasema "aishivyo Mungu wangu hakutakuwa na mvua sa maafa kama walivyotabiri watu wa hali ya hewa" Watanzania wnzangu...
TAMWA pia inamsupport na kinachofuata kwa sasa mwanaume akimpiga mwanamke ni viboko kumi mbele ya mke na mtoto alafu jela six month hakuna dhamana hapo
huu ni mfumo dume hivi mlikaa mkaielewA ile mada? na anayempa mamlaka Joyce kiria ni Tume ya haki za binadamu, Taa pamoja na polisi jamii ili kusaidia kuzuia unyanyasaji wamwanamke mwanamke amkuwa akionewa years and years eti kwa nini mwanaume anahojiwa kwa nini asiojiwe? mwanaume mwanaume...
hivi aliyeandika topic na anayejibu mbona watu tofauti nimeandika swali kwa aliyetoa topic sifikiri kama ni hekima kujibu usichoulizwa mwenye mada nimekusoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.