Ujumbe wangu wa wadada leo jumapili!

Ujumbe wangu wa wadada leo jumapili!

Etieee starehe na shida pande zote, vilevile angeongelea kwa upande wa wanume wanotelekezwa na wanawake as the other side of the coin


Ha ha ha unataka haki sawa Leo paroko ametoa letu tu akina Dada. Next tyme atawapa lenu
Ila najiuliza kwanini nyie mnatelekeza mabint pind akisema ana ujauzito?
 
Thanks, Ila Wakaka Nao Wabadilike,Kama huna mpango na binti wa watu iweje uanzishe naye mahusiano?

Ukiwa na uwezo mzuri wa kufikiri huhitaji yeye awe hivyo nali itaweza kumjua kabla mambo hayajaharibika

Fuata ushauri wangu kwani hata mwizi anapotaka kukuibia hawezi kukuambia!
 
Ukiwa na uwezo mzuri wa kufikiri huhitaji yeye awe hivyo nali itaweza kumjua kabla mambo hayajaharibika

Fuata ushauri wangu kwani hata mwizi anapotaka kukuibia hawezi kukuambia!

Nimekusikia Baba Paroko Wa Parokia Ya JF
 
Hahahaha, mmenikumbusha kuna kpnd flani nlisema nataka kuacha izo mambo mpka nifunge ndoa.Mwezi haukuisha nikiwa na uo mcmamo.

Aisee wewe,huu uandishi hauhitajiki hapa

Hebu tafuta mahali pengine pa kuupeleka!
 
Back
Top Bottom