Zanzibar-ASP huyu jamaa cjui hata nieleze vipi?!!
Ni hivi alialikwa kwenye mkutano wa injili ndani ya kanisa la reedemers assemblies liko kule kimara mwisho michubgwani karibu na shule ya kilimanjaro academy na ye alikuwa mgeni mwenyeji sabb kulikuwa kuna wageni wengine pia kutoka south africa...
Kaka huyo hatobadilika kamwe..hata ukimwambia sababu kuna wengine wamekulia makuzi yasio ya kimaskini na tabia hizo wameanza tangu utotoni bt kama angekulia kwenye umaskini na akaja kufanikiwa asingekuwa hivo.so ni ngumu yeye kuacha hiyo tabia..na siku ukija kukosa sijui itakuwaje?? Kazi unayo...
Sheria ya unyanyasaji wa kijinsia na ukatili dhidi ya wanawake ipo.bt kama ni mara ya kwanza mvumilie akizidi kukufanyia hivyo una haki ya kwenda kumstaki"!
Alianzisha thread anatafuta mama mchungaji humu angalia comment zake mwishoni baada ya kukosa alichokuwa anatafta lazima uwe na mashaka nae!na huko pm havumi lakini yumo na anavokujia sasa utadhani sio yeye!
Nimeukumbuka sana wimbo aloimba marehemu banza stone MTU PESA!
Kuna sehemu kimobitel anaimba "cheezaa nae mbali sana mtu mwenye pesaa(mwenye pesa si mwenzakooo oohh)
Anaweza kutenda zuri au baya lile alitakalo yeye tu,sio yeye ni pesaa(ni pesaa) sio yeye ni pesa (zinazomzuzua eeh)"
HIVI MTU KWA...
Uliyosema ni kweli sio mazuri.lakini nawe uache uhuni na kumdhihaki mungu..mtumishi wa kweli anajua mke mwema atapewa na mungu so atadumu kwenye maombi akiamini siku atakutana nae!
NASEMA ACHA UHUNI WA KUTONGOZA MABINTI OVYOOVYO HUKU JF!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.