Recent content by cindy mopao

  1. C

    Alikotokea Nabii Frank Julius Kilawah wa Shilo Ministries

    Zanzibar-ASP huyu jamaa cjui hata nieleze vipi?!! Ni hivi alialikwa kwenye mkutano wa injili ndani ya kanisa la reedemers assemblies liko kule kimara mwisho michubgwani karibu na shule ya kilimanjaro academy na ye alikuwa mgeni mwenyeji sabb kulikuwa kuna wageni wengine pia kutoka south africa...
  2. C

    Alikotokea Nabii Frank Julius Kilawah wa Shilo Ministries

    Aisee alichofany huyu baba pale kimara mwisho wiki hii sina hamu...na ndo nimegundua wanafanya biashara...dini biashara!!
  3. C

    Mpenzi wangua ana dharau sana na kuwabeza watu wa kipato cha hali ya chini/duni!!

    Kaka huyo hatobadilika kamwe..hata ukimwambia sababu kuna wengine wamekulia makuzi yasio ya kimaskini na tabia hizo wameanza tangu utotoni bt kama angekulia kwenye umaskini na akaja kufanikiwa asingekuwa hivo.so ni ngumu yeye kuacha hiyo tabia..na siku ukija kukosa sijui itakuwaje?? Kazi unayo...
  4. C

    Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru: Kuapishwa kwa Dr. Pombe Magufuli kuwa Rais wa Tanzania

    Hahaahaa!ulidhani watu watasema ni baraka?? Aah wapi! Kuna kila dalili za rafu kwenye huo ushindi na mola hawez kuubariki..acha tu tutunze amani yetu.
  5. C

    Nimepigwa na mume

    Sheria ya unyanyasaji wa kijinsia na ukatili dhidi ya wanawake ipo.bt kama ni mara ya kwanza mvumilie akizidi kukufanyia hivyo una haki ya kwenda kumstaki"!
  6. C

    Anajivuna Anaingiza Sh.700,000 kwa mwezi kutoka kwa mabf wake bila wao kujua

    Alianzisha thread anatafuta mama mchungaji humu angalia comment zake mwishoni baada ya kukosa alichokuwa anatafta lazima uwe na mashaka nae!na huko pm havumi lakini yumo na anavokujia sasa utadhani sio yeye!
  7. C

    Mawakala wawe washika Dini

    Na gwajima?si anaweza kawa wakala wa chadema?hanunuliki?
  8. C

    Madereva wa Malori wamefunga Barabara ya Morogoro, baada ya mwenzao kupigwa risasi na mwajiri wake

    Nimeukumbuka sana wimbo aloimba marehemu banza stone MTU PESA! Kuna sehemu kimobitel anaimba "cheezaa nae mbali sana mtu mwenye pesaa(mwenye pesa si mwenzakooo oohh) Anaweza kutenda zuri au baya lile alitakalo yeye tu,sio yeye ni pesaa(ni pesaa) sio yeye ni pesa (zinazomzuzua eeh)" HIVI MTU KWA...
  9. C

    Anajivuna Anaingiza Sh.700,000 kwa mwezi kutoka kwa mabf wake bila wao kujua

    Uliyosema ni kweli sio mazuri.lakini nawe uache uhuni na kumdhihaki mungu..mtumishi wa kweli anajua mke mwema atapewa na mungu so atadumu kwenye maombi akiamini siku atakutana nae! NASEMA ACHA UHUNI WA KUTONGOZA MABINTI OVYOOVYO HUKU JF!
  10. C

    Sex on sunday

    Una wazimu wewe???
  11. C

    Hivi na nyie wenzangu wapenzi wenu wakiwa wanaumwa huwa wanadeka kama huyu wangu?

    Msamehee hakujua kama shati alolitapikia umelinunua uingereza!! Watu bwana!
  12. C

    Iam looking for a serious boyfriend!

    Nimekuelewa matola
Back
Top Bottom