Iam looking for a serious boyfriend!

Iam looking for a serious boyfriend!

Hujanielewa, sina maana kama wewe age imekwenda nop, ila katika mikusanyiko mbalimbali company za church zina faida kubwa kwanza unakuwa unaingia kwenye urafiki na mcha Mungu ingawa kanisani huwa tunakwenda kuabudu.

Tatizo la mitandaoni watu wengi wanaojiheshimu na wako serious wanakuwa wako commited na watu wao, wengi wanaokutokea humu ni balehe tu zinawasumbuwa ndio maana wadada wengi wanakatishwa tamaa na online friendship.

Lakini hata kitaa si unaweza kuwa na urafiki wa kawaida na mwanaume then baadaye mnachage status? basi hata humu mwendo ni huohuo mdogo mdogo tu pumba na mchele unazitambuwa.

Nimekuelewa matola
 
Im here to fully provide you with lots of love and cares.You have all my time kama kweli uko na nia tuanze na p.m.Mind you, its strictly mapenzi maswala ya hela ondoa kabisa kichwani cindy mopao
Kwahiyo pesa tutowe sisi mapenzi upewe wewe? hii mpya hivi mpenzi wako unategemea apewe support na nani?
 
Hi jf members,

Am tired of being lonely,iam a matured girl aged 20-24,super model,black(chocolate)..nahitaji rafiki wa kiume wa kuwa nae kama mtu wangu wa karibu na kadri uhusiano utakavozidi kukua kama akipenda we will tie da knot.

I am wife material with all qualities of being someone's wife, i have self-respect kuanzia uvaaji wangu hadi tabia yangu na wala sina makuu!

You must be christian,tall,any colour bt wale wenye ushombe siwataki! Age 25-30!

Nb:make sure unajiheshimu na unaheshimu wengine.sitaki uhuni!uwe na elimu yoyote na akili ya maisha .mi elimu yangu chuo!

Kama bado ni pm
 
If you're a really Christian [pata ushauri kutoka Kwa Shangazi,Bibi, Mama mdogo + kiongozi Wa Dini unayo abudu] utapata soln ya uhakika.
 
hahahahah Matola kila mtu si ana baba yake kaka, sasa kwa nini nijibebeshe jukumu lisilo langu? Mi ntampa kile ambacho baba anashindwa kumpatia kama hitaji muhimu kwake.
 
Last edited by a moderator:
mimi ninasifa zote ila sina cheti cha kuzaliwa nitafanye utakapohitaji uthibitisho?
 
Hi jf members,

Am tired of being lonely,iam a matured girl aged 20-24,super model,black(chocolate)..nahitaji rafiki wa kiume wa kuwa nae kama mtu wangu wa karibu na kadri uhusiano utakavozidi kukua kama akipenda we will tie da knot.

I am wife material with all qualities of being someone's wife, i have self-respect kuanzia uvaaji wangu hadi tabia yangu na wala sina makuu!

You must be christian,tall,any colour bt wale wenye ushombe siwataki! Age 25-30!

Nb:make sure unajiheshimu na unaheshimu wengine.sitaki uhuni!uwe na elimu yoyote na akili ya maisha .mi elimu yangu chuo!


Something wrong with you.?
 
First, be serious yourself if you want a serious boyfriend! A serious person can't find a companion like this in the social network. and you don't even know your age (20-24 What's this!?)!!! No wonder you are still single! But thanks for the offer but i'll pass. Good luck on finding a boyfriend!

Even myself I was wonderin (age, 20-24)!!! Mmmh
 
Peleka kitobo chako huko, wife material huwa hawajisemi, ila huonekana na jamii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom