Recent content by cil

  1. cil

    Dogo ana Division 1.7; Mambo ya computer aende chuo gani?

    Mwambie akasome instrumentation hatojutia maisha yake.
  2. cil

    Wizara ya Fedha kufanya Utafiti Ili kujua kwanini Watanzania hawapendi kulipa Kodi. MwanaJf unaweza kutoa maoni hapa kusaidia Utafiti

    Kwanza viongozi namba moja kukwepa kulipa kodi, pili wanahamisha Mali za umma kuwa zao na tatu matumizi siyo sahihi ukilinganisha na mahitaji ya Jamie.
  3. cil

    Rais Samia avunja Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO, ateua Mwenyekiti mpya

    Kama uwezo na sifa wanazo kwann wasiteuliwe
  4. cil

    Paul Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM!

    Mkuu nakukumbusha kurudisha kadi
  5. cil

    Utabiri: Mgombea urais CCM 2025 hatakuwa Mwanamke

    Kuna watu wako mbele ya muda.
  6. cil

    SI KWELI Ulaji wa Mihogo mibichi husababisha uzezeta

    Mtoa maada siyo kweli, kiwango cha cyanide ni kidogo sana ambayo haína madhara yoyote kwa mtumiaji. Kwa mfano baadhi ya mazao mengine ambayo yana cyanide ni mtama, maharage na Moshi wa singara. Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom