Hakuna kizuwizi chochote pale mana mnunuwaji mkubwa wamafuta ya iran ni China,China ambayo inanunua mafuta zaidi ya %85 ya mafuta ya iran,unakumbuka juzi Trump ametangaza kwamba Meli za mafuta ya China hazitazuwiliwa inamana biashara kati ya Iran na china inaendelea kama kawaida sasa USA...
Kwanza viongozi namba moja kukwepa kulipa kodi, pili wanahamisha Mali za umma kuwa zao na tatu matumizi siyo sahihi ukilinganisha na mahitaji ya Jamie.
Mtoa maada siyo kweli, kiwango cha cyanide ni kidogo sana ambayo haína madhara yoyote kwa mtumiaji.
Kwa mfano baadhi ya mazao mengine ambayo yana cyanide ni mtama, maharage na Moshi wa singara.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.