Feisal ni kijana mashuhuri kutoka Zanzibar , ni kijana mwenye uwezo mkubwa na mara zote huwa na juhudi na kuyafikia malengo aliyojiwekea.
Leo katika mchezo wa Azam vs Yanga kijana huyu alimaarufu kwa jina la "Feitoto" aibuka shujaa dimbani, baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi na...
Kwani ukiwa upande huo ni lazima ujitoe ufahamu ndio maisha yasonge?
Kuna wakati muwe mnajaribu kutumia ubongo katika kufikiri badala ya kutumia mautumbo ,kongosho na uti wa mgongo.
Pole kwa kupungukiwa na uwezo wa kufikiri
Leo Tarehe 09/10/2020
Mheshimiwa Boniface Jacob* anatarajia kuendeleza Kampeni zake za Ubunge Jimbo la Ubungo katika Kata ya Ubungo.
Muda ni Kuanzia
Saa 8:00 Mchana, Mtaa wa* *Ubungo Kisiwani/Ubungo Maziwa - viwanja vya Ubungo Modern Kutakuwa na Mkutano wa hadhara*
Ubungo itajengwa na Wana...
Leo Tarehe 07/10/2020
Mheshimiwa Boniface Jacob
anatarajia kuendeleza Kampeni zake za Ubunge Jimbo la Ubungo katika Kata ya Makuburi.
Muda ni Kuanzia
Saa 8:00 Mchana, Mtaa wa Kibangu viwanja vya Riverside Stand Kutakuwa na Mkutano wa hadhara.
_Ni_
BONIFACE JACOB
Wao wanaposema nitawafanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.