Unafundisha upumbavu kabisaaaaa yapo mambo ya msingi yakuzungumza watu wakabalika
Asili ya binaadamu akiamua kukuchukia hata umteendee Jema kias gani hataitaji Amani wala wemaa wowote kwako
Watu wangapi wameumizwa licha ya wema wanaowatendea binaadamu wenzao na kulipwa mabaya
Then unasema...
Aliwai kuniambia mtu mmoja kuwa yesu by nature kabisa ni muislam kwasababu alifata mila na tamaduni za kiyaud na pengine mpaka kuzifanya zaidi ya mafundisho ya kidini yakiyaudi
Alitawadha,aliingia msikitini(sinagodi) kama waislam wasalivyo ko yesu ni muislam hakuna mkristo anayeingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.