Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,883
- Thread starter
- #61
Kila mtu apambane na Hali yake..
Watoto wetu wanahitaji matunzo kutoka kwetu
Bado watu Baki wadai kutumiwa pesa kila mwisho wa mwezi..hapana kwa kweli..mume asipotuma lawama zote Ni kwa mke wake eti anazuia pesa isitumwe na hivi sie wengine wamachame bas unaonekana una roho mbaya
Sisi hatukuwazaa mtutelekeze huku maporini.
Tumeni pesa acheni ukaidi.