Recent content by Chupayamaji

  1. Chupayamaji

    Kumuona nabii kiboko ya wachawi ni laki tano

    Ila Wayahudi walijua kumtesa huyu mwamba aisee
  2. Chupayamaji

    Ukitaka kujipima kama una upendo wa kweli na uvumilivu basi fuga mbuzi wa kienyeji

    Unadhani Kwa nini Yesu alikuwa anapenda kufuga kondoo na sio mbuzi??? Mwenyewe alichemka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  3. Chupayamaji

    DOKEZO Responded Nini kifanyike bajaji na bodaboda kutosimama kwenye zebra?

    Bajaj na boda boda ni janga kubwa sana magari mengi yamepoteza muonekano Kwa kupigwa pasi na Hawa jamaa unakuta gari mpya ina michirizi na mikwaruzo kibao.
  4. Chupayamaji

    Kuna shida kubwa ya akina mama na mabinti kupenda kula chipsi mayai

    Sasa Braza unachunguza wanachokula wanawake ili iweje??
  5. Chupayamaji

    Kulikoni? Uwanja wa Amaan Mtupu Kumuga Mzee Mwinyi Zanzibar

    Halafu unajiita Muislam we ni kafiri tu.
  6. Chupayamaji

    Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

    Ban yako itatusaidia nini Sisi.Unajikuta ni Muhimu sana Humu ndani.
  7. Chupayamaji

    Mada maalum ya ndege toka FB

    Tuone Sasa.
  8. Chupayamaji

    Ukiona hupigiwi simu, status huwekwi, huna likes kwenye mtandao ya kijamii ujue thamani yako imeisha

    Kwa hiyo siku hizi sio thamani ya X ni thamani ya like[emoji23][emoji23][emoji23]
  9. Chupayamaji

    Kwanini simba mfalme wa nyika hawezi kumdhuru fisi?

    Acha uwongoo bana joto ni kali kunywa maji kwanza.
Back
Top Bottom