Sio Mandari, ni Mandara kama mleta uzi alivyoandika. Anapewa heshima huku Marangu mpaka leo. Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro (KINAPA) imekipa jina la MANDARA kituo cha kwanza kulala watalii wanaopitia njia ya Marangu. Kituo hicho kinaitwa Mandara hut.
Sure, why creating artificial demand? Acha awafundishe. Waache uhuni wao wa kuficha sukari. Bravo Dkt. Magufuli! Tuna imani na wewe na umeshaonesha unaweza sana. We love you and always pray for you.
Smart Mwananchi,
nimekupenda kabisa. Umeandika masuala ya msingi sana mwanzo mwisho. Maswali yako ni ya msingi sana kwa Pascal. Tunategemea ayajibu hapa jamvini.
Manyerere hizi habari ni za uongo 100%.
Hakuna mfanyakazi wa Kilimanjaro National Park aliyesimamishwa kwenye kikao cha leo 11/2/2016. Kwenye kikao kizima hata neno "kusimamishwa" halijatamkwa na Waziri Maghembe.
Watu wanachangia jambo lisilokuwepo kabisa!
Chanzo, eti mfanyakazi wa KINAPA...
Ni vema kujiuliza na kuulewa huo unaoitwa 'utafiti' wa twaweza; ulifanyika lini, sampuli ilikuwa 'realistic' kiutafiti?
kuliko kushabikia au kubeza 'utafit' hu.
BRN=Better Resign Now...Mngekuwa na uhakika wa kubakia madarakani, msingekuwa na hiyo mikakati yenu ya Ngurdoto, Zenj, Mtwara n.k.Subirini 25 Oct muone Peoples' Power inavyodhihirisha ubora wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.