Recent content by chungachungu

  1. C

    Jenista Mhagama katumwa kuharibu mpango wa kuongeza mishahara?

    Kama waliweza kuvumilia kipindi kile hata madaraja hayakupandishwa,,, watashindwa kwa Sasa?,
  2. C

    Waziri Mkuu Mpya Ajaye...??

    Kwani wewe siku ile hukumuona? Au unataka aje Chumbani kwako
  3. C

    Hoteli ya Kitalii Ngorongoro Wildlife kunyanganywa Mwekezaji na kupewa Mwingine, iko hivi

    Harafu isitoshe taarifa zenyewe hazina uhakika,,, ndio unachoka kabisa
  4. C

    Nitamsaidia Humphrey Polepole kutaja wahuni(Hooligans) ambao sio tu hawakumalizwa bali waliongezeka awamu ya tano mara 100 zaidi

    Wahuni waliendesha zoezi la kuwatoa went vyeti feki na watumishi hewa lakini Bado gharama ya kulipa mishahara kwa watumishi iliongezeka
  5. C

    Ukweli ni kwamba Rais Samia hakuwa pamoja na Hayati Magufuli

    Kuonyesha ubabe,,, alimsifia mama Salim kuwa mzuri mbele yake
  6. C

    Godbless Lema amtakia safari njema Dotto Biteko Wizara ya Madini

    Ni afisa kipenyo huyu,,, amejificha kwenye unabii
  7. C

    Iringa wapokea Tsh. Bilioni 6.8 za ujenzi wa madarasa

    Sisi kata ya mlowa tumepata milioni 85,,, hahahahah,,,
  8. C

    Iringa wapokea Tsh. Bilioni 6.8 za ujenzi wa madarasa

    We ulikuwa unataka watoe shilingi ngapi?
  9. C

    Kwanini Wabobezi wa siasa za CCM na wasomi wa falsafa Dkt. Bashiru Ally na Dkt. Wilson Mukama wamesahaulika haraka sana?

    Bilioni 30 si za ruzuku? Kwa ushindi upi was halali ambao chama kilishinda? Aliratibu magenge ya kununua wapinzani kwa kivuli Cha kuunga mkono juhudi za magufuri,, pesa ya dhambi
Back
Top Bottom