Iringa wapokea Tsh. Bilioni 6.8 za ujenzi wa madarasa

Yaani wewe ni mpumbavu sana! Hivi kwa nini Mungu aliumba vitu vyote akamalizia mwanadamu? Majengo na miundombinu kwanza wafanyakazi baadae! Stupid!
Tembea huku mikoani uone. Kuna shule zina wanafunzi 600-700 ila waalimu 4 au 5. Hapo hapo kuna mwalimu mkuu n.k

Hiyo ya kujenga madarasa bila kuajiri ni zuga ya kuwapumbaza watu wasiofanya research na wapumbavu kama wewe. Zipi zahanati zimejengwa na magufuli hadi sasa zina wahudumu wawili. Tutumie akili wadanganyika.

Majengo bila watoa huduma ni UPUMBAVU. Na hapo Hangaya atawashika wengi.
 
Mkuu hivi vyumba vya kujenga kama box ni madarasa au ujinga nenda shule za zamani uangalie ubora wa madarasa uje hapa unambie tunajenga madarasa au ujinga!
Huo ni ubadhirifu unaofanywa na wasimamizi wa maeno husika, na ndo Kila siku tunaona wakichukuliwa hatua za kisheria. Na kwa hoja hiyo hauwezi kuilaumu serikali kuu hata hivyo tumeshuhudia wakifatilia maendeleo ya miradi hiyo.
 
Tembea huku mikoani uone. Kuna shule zina wanafunzi 600-700 ila waalimu 4 au 5. Hapo hapo kuna mwalimu mkuu n.k

Hiyo ya kujenga madarasa bila kuajiri ni zuga ya kuwapumbaza watu wasiofanya research na wapumbavu kama wewe. Zipi zahanati zimejengwa na magufuli hadi sasa zina wahudumu wawili. Tutumie akili wadanganyika.

Majengo bila watoa huduma ni UPUMBAVU. Na hapo Hangaya atawashika wengi.
Kwa hiyo hata ajira zilizotolewa juzi za maelfu wewe hukuziona au labda ulikuwa nchi za nje ndo umerudi Jana mzee, uliza uambiwe Mambo yanayo endelea nchini mwako kabla ya kuchangia mawzo jombaaa.
 
Tembea huku mikoani uone. Kuna shule zina wanafunzi 600-700 ila waalimu 4 au 5. Hapo hapo kuna mwalimu mkuu n.k

Hiyo ya kujenga madarasa bila kuajiri ni zuga ya kuwapumbaza watu wasiofanya research na wapumbavu kama wewe. Zipi zahanati zimejengwa na magufuli hadi sasa zina wahudumu wawili. Tutumie akili wadanganyika.

Majengo bila watoa huduma ni UPUMBAVU. Na hapo Hangaya atawashika wengi.
Mimi nakuambia wewe bado ni mpumbavu serkali inaangalia uhitaji inajenga hospital au shule unataka iajiri madaktari au walimu wakute miundo mbinu mibovu kama choo! Pumbavu zako! Unaona ajira kama za madakitari zipo kwa kuwa miundombinu serkali imejitahidi kupanua kama hospital za kanda na vituo vya afya!
 
Tembea huku mikoani uone. Kuna shule zina wanafunzi 600-700 ila waalimu 4 au 5. Hapo hapo kuna mwalimu mkuu n.k

Hiyo ya kujenga madarasa bila kuajiri ni zuga ya kuwapumbaza watu wasiofanya research na wapumbavu kama wewe. Zipi zahanati zimejengwa na magufuli hadi sasa zina wahudumu wawili. Tutumie akili wadanganyika.

Majengo bila watoa huduma ni UPUMBAVU. Na hapo Hangaya atawashika wengi.
Nyinyi ndo mnataka kuajiriwa wote waliotoka chuo ili kuwafurahisha, serkali inaajiri kulingana na uwezo na mahitaji yaliyopo endelea kusubiria ajira wewe pimbi!
 
Tembea huku mikoani uone. Kuna shule zina wanafunzi 600-700 ila waalimu 4 au 5. Hapo hapo kuna mwalimu mkuu n.k

Hiyo ya kujenga madarasa bila kuajiri ni zuga ya kuwapumbaza watu wasiofanya research na wapumbavu kama wewe. Zipi zahanati zimejengwa na magufuli hadi sasa zina wahudumu wawili. Tutumie akili wadanganyika.

Majengo bila watoa huduma ni UPUMBAVU. Na hapo Hangaya atawashika wengi.
Kuna jambo linaanza kujijenga akilini mwangu, wewe utakuwa mlinda legacy na unachojaribu kufanya hapa ni kuonyesha na kujaribu kuziondoa au kuzisukuma frustrations zako upande mwingine baada ya kuona kuna mambo yanaenda bila maguvu........huku mashule na mazahanati, kule machinga wanajipanga taratibu bila vurugu na miji kurejea usafini na ustaarabuni. Nikuhabarishe tu kuwa huku kuna sensa nyeti kabisa ya manesi na walimu inayoendelea na hata usishangae kuja kusikia tanga la ajira za walimu 40,000 au zaidi.....wecbaki tu huko ukipigania legacy!
 
Sambulugu, huyo jamaa kichwa kina shida kubwa Sana, hata elimu hiyo ya uumbaji kwake ni mbingu na ardhi hauwezi kuielewa kwani akili tayari zimeathirika na ugonjwa wa ubishi, kwake haoni lolote Lilo zuri.
Hata mi nashangaa andaa mazingira hata ukimwajiri mtu anakuwa na hamasa ya kufanya kazi! Unamwajiri unamtupa sehemu yenye shida nyingi hawezi kufanya kazi kwa ufanisi na haitakuwa na matokeo kwa wananchi hiyo ajira!
 
Tembea huku mikoani uone. Kuna shule zina wanafunzi 600-700 ila waalimu 4 au 5. Hapo hapo kuna mwalimu mkuu n.k

Hiyo ya kujenga madarasa bila kuajiri ni zuga ya kuwapumbaza watu wasiofanya research na wapumbavu kama wewe. Zipi zahanati zimejengwa na magufuli hadi sasa zina wahudumu wawili. Tutumie akili wadanganyika.

Majengo bila watoa huduma ni UPUMBAVU. Na hapo Hangaya atawashika wengi.
Ushauri wako nini hapa? Yasijengwe madarasa na watoto wakae nyumbani wasubiri kwanza walimu waajiriwe au mwakani kusiwe na f1, wafutwe hadi hapo walimu watakapokuwa wa kutosha?
 
Ushauri wako nini hapa? Yasijengwe madarasa na watoto wakae nyumbani wasubiri kwanza walimu waajiriwe au mwakani kusiwe na f1, wafutwe hadi hapo walimu watakapokuwa wa kutosha?
Achana na huyo hajui hata anaongea nini very primitive!
 
Kuna jambo linaanza kujijenga akilini mwangu, wewe utakuwa mlinda legacy na unachojaribu kufanya hapa ni kuonyesha na kujaribu kuziondoa au kuzisukuma frustrations zako upande mwingine baada ya kuona kuna mambo yanaenda bila maguvu........huku mashule na mazahanati, kule machinga wanajipanga taratibu bila vurugu na miji kurejea usafini na ustaarabuni. Nikuhabarishe tu kuwa huku kuna sensa nyeti kabisa ya manesi na walimu inayoendelea na hata usishangae kuja kusikia tanga la ajira za walimu 40,000 au zaidi.....wecbaki tu huko ukipigania legacy!
Mkuu Yani miji Ina pendeza , juzi nilikuwa mwanza mji unavutia, zile vurugu vurugu pembezoni mwa Barabara hazipo tena.
Na wamachinga maeneo walio pangiwa yakizoeleka biashara zitafanyika ,ugumu wabiashara wanaweza kuuona hapa mwanzoni tu. Mbona soko la mitumba la Ilala lilozoeleka na wateja wakawa wafuata huko huko.
 
Ushauri wako nini hapa? Yasijengwe madarasa na watoto wakae nyumbani wasubiri kwanza walimu waajiriwe au mwakani kusiwe na f1, wafutwe hadi hapo walimu watakapokuwa wa kutosha?
Kwa kweli hii ndio michango bora, na inatoa elimu ya kutosha kongole kwako NIMEONA Big up
 
Mkuu Yani miji Ina pendeza , juzi nilikuwa mwanza mji unavutia, zile vurugu vurugu pembezoni mwa Barabara hazipo tena.
Na wamachinga maeneo walio pangiwa yakizoeleka biashara zitafanyika ,ugumu wabiashara wanaweza kuuona hapa mwanzoni tu. Mbona soko la mitumba la Ilala lilozoeleka na wateja wakawa wafuata huko huko.
Kwa kweli kwa machinga japo kuwa ni binadamu nao wanamahitaji ila kwa upande wa kufanya biashara kiholela na kujaza mabanda ya mifuko n a mashuka kwa kweli inasikitisha pia imaua innovation kwa wafanya biashara na kizazi! Tunomba tu zoezi liende vizuri!
 
Kwa kweli kwa machinga japo kuwa ni binadamu nao wanamahitaji ila kwa upande wa kufanya biashara kiholela na kujaza mabanda ya mifuko n a mashuka kwa kweli inasikitisha pia imaua innovation kwa wafanya biashara na kizazi! Tunomba tu zoezi liende vizuri!
Mwanzo Mara zote huwa ni mgumu Ila maeneo yao yakisha zoeleka vizuri watafanya biashara vizuri tu, ni kweli watathirika kwa muda na watapata myumbo wa kiuchumi hili Hali pingiki.
 
Achana na huyo hajui hata anaongea nini very primitive!
Kwakweli!
Mama yanamkabili kwa pamoja yote, upungufu uliotoka na kutoajili na ongezeko la wanafunz8 lililotokana na elimu bure na hamasa ya 'fyatueni tu mi nitasomesha'. Hakuna namna, vijana inabidi awaokoe ( na hapa busara ya kuwapatia sehemu ya kukaa kwanza kabla ya mengine inafanya kazi kwa kila mtu mwenye akili timamu)!

Huyu mdau ananikumbusha chemsha bongo fulani hivi tuliwahi kupeana miaka ya nyuma. Tuliulizwa, 'ikiwa umeenda dar kutafuta maisha na huna ndugu huko, kwa bahati wanatokea watu wawili mtaani ulipokuwa unazunguka; mmoja anasema anaweza kukupa chakula tu lkn hana uwezo wa kukupa malazi na mwingine anasema ye anaweza kukupatia malazi lakini kamwe hana uwezo wa kukupatia chakula, utachagua kwenda wapi?' Waliojibu wataenda kwa aliyeofffer chakula walichekwa sana na mtoa chemsha bongo, alisema, 'wapumbavu nyie, sehemu ya kulala kwanza habari za chakula utapatia akili hapo ya namna ya kukitafuta!' Ndg huyu anaonekana angekimbilia kwenye msosi!
 
Kwa kweli hii ndio michango bora, na inatoa elimu ya kutosha kongole kwako NIMEONA Big up
Pamoja kiongozi! Mi bado mipango ya maendeleo hii naielewa sana.....wapigaji tu wakibanwa kisawasawa, historia itawekwa
 
Kwakweli!
Mama yanamkabili kwa pamoja yote, upungufu uliotoka na kutoajili na ongezeko la wanafunz8 lililotokana na elimu bure na hamasa ya 'fyatueni tu mi nitasomesha'. Hakuna namna, vijana inabidi awaokoe ( na hapa busara ya kuwapatia sehemu ya kukaa kwanza kabla ya mengine inafanya kazi kwa kila mtu mwenye akili timamu)!

Huyu mdau ananikumbusha chemsha bongo fulani hivi tuliwahi kupeana miaka ya nyuma. Tuliulizwa, 'ikiwa umeenda dar kutafuta maisha na huna ndugu huko, kwa bahati wanatokea watu wawili mtaani ulipokuwa unazunguka; mmoja anasema anaweza kukupa chakula tu lkn hana uwezo wa kukupa malazi na mwingine anasema ye anaweza kukupatia malazi lakini kamwe hana uwezo wa kukupatia chakula, utachagua kwenda wapi?' Waliojibu wataenda kwa aliyeofffer chakula walichekwa sana na mtoa chemsha bongo, alisema, 'wapumbavu nyie, sehemu ya kulala kwanza habari za chakula utapatia akili hapo ya namna ya kukitafuta!' Ndg huyu anaonekana angekimbilia kwenye msosi!
Hahaha! Unajua kujitambua ni lazima uwe mtu mwenye kuyatazama mambo kwa undani ma kuacha kukariri maisha! Huyo sina shaka angeenda kwenye msosi halafu usiku alale mtaroni eti kisa kashiba! Sehemu ya kulala maana yake ni miundombinu na chakula ni hitaji linalofata baada ya kuwa na uhakika wa malazi (miundombinu)
 
Back
Top Bottom